-
Kujichukulia maamuzi ya upande mmoja, changamoto ya dunia nzima
Jul 14, 2021 20:47Tabia ya baadhi ya madola ya kujichukulia maamuzi ya upande mmoja (unilateralism) sasa imekuwa tishio katika upeo wa kimataifa, na njia ya kukabiliana na tishio hilo ni hatua shirikishi na za pamoja katika upeo wa dunia nzima na kuimarisha utamaduni wa kuchukua maamuzi shirikishi (multilateralism) hususan katika masuala ya kimataifa.
-
Zarif asisitiza: "Vikwazo vya kulemaza" vya Marekani vimefeli na kugonga mwamba
Jul 14, 2021 08:02Waziri wa Mashauri wa Kigeni wa Iran amesema kuwa vikwao vya Marekani dhidi ya Iran vilivyotajwa kuwa ni vya kulemaza vimefeli na kushindwa.
-
Makamu wa Rais: Iran ndio nchi inayoongoza kisayansi na kiteknolojia katika eneo
Jul 08, 2021 23:11Makamu wa Rais anayehusika na masuala ya sayansi na teknolojia amesema, ijapokuwa Iran ilijiwekea malengo ya kuwa dola linaloongoza katika sekta za sayansi na teknolojia ifikapo mwaka 1404 hijria shamsia, lakini hivi sasa tayari imeshalifikia lengo hilo muhimu.
-
Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo
Jul 08, 2021 05:46Mazungumzo ya pande tatu kati ya jumbe za Afganistan na Iran yamefanyika mjini Tehran kwa madhumuni ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo kwa kutegemea mazungumzo baina ya makundi tofauti ya nchi hiyo.
-
Iran: Israel inabeba dhima ya kutekwa wanadiplomasia wa Kiirani Lebanon
Jul 04, 2021 22:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake ndio wanaobeba dhima ya kisiasa na kisheria kuhusu hatima ya wanadiplomasia wanne wa Kiirani waliotekwa nyara nchini Lebanon mwaka 1982.
-
Hamas: Uhusiano na Iran ni wa muda mrefu na unaendelea
Jul 04, 2021 22:09Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu na kusisitiza kuwa harakati hiyo pia inataka kuboresha uhusiano na Saudi Arabia na nchi zingine zote isipokuwa utawala bandia wa Israel.
-
Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran
Jul 04, 2021 09:04Rais wa Uganda amemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi akimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran; huku akieleza kuwa Kampala ipo tayari kuimarisha uhusiano wake na serikali ijayo ya Tehran.
-
Usafirishaji nje bidhaa za Iran waongezeka kwa asilimia 68
Jul 03, 2021 22:07Mkuu wa Taasisi ya Ustawi wa Biashara ya Iran amesema kuwa, usafirishaji nje bidhaa za Iran umeongerzka kwa asilimia 68 katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzoni mwa mwaka huu wa 1400 wa Hijria Shamsia ikilinganishwa na wakati kama huu katika mwaka uliopita wa Kiirani.
-
Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran
Jul 03, 2021 08:11Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.
-
Amir Abdollahian: Israel haina nafasi katika mustakabali wa Asia Magharibi
Jul 03, 2021 03:43Hossein Amir-Abdollahian, mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: "Utawala wa Israel hautakuwa na nafasi yoyote katika mustakabali wa eneo (la Asia Magharibi).