Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kujichukulia maamuzi ya upande mmoja, changamoto ya dunia nzima

    Kujichukulia maamuzi ya upande mmoja, changamoto ya dunia nzima

    Jul 14, 2021 20:47

    Tabia ya baadhi ya madola ya kujichukulia maamuzi ya upande mmoja (unilateralism) sasa imekuwa tishio katika upeo wa kimataifa, na njia ya kukabiliana na tishio hilo ni hatua shirikishi na za pamoja katika upeo wa dunia nzima na kuimarisha utamaduni wa kuchukua maamuzi shirikishi (multilateralism) hususan katika masuala ya kimataifa.

  • Zarif asisitiza:

    Zarif asisitiza: "Vikwazo vya kulemaza" vya Marekani vimefeli na kugonga mwamba

    Jul 14, 2021 08:02

    Waziri wa Mashauri wa Kigeni wa Iran amesema kuwa vikwao vya Marekani dhidi ya Iran vilivyotajwa kuwa ni vya kulemaza vimefeli na kushindwa.

  • Makamu wa Rais: Iran ndio nchi inayoongoza kisayansi na kiteknolojia katika eneo

    Makamu wa Rais: Iran ndio nchi inayoongoza kisayansi na kiteknolojia katika eneo

    Jul 08, 2021 23:11

    Makamu wa Rais anayehusika na masuala ya sayansi na teknolojia amesema, ijapokuwa Iran ilijiwekea malengo ya kuwa dola linaloongoza katika sekta za sayansi na teknolojia ifikapo mwaka 1404 hijria shamsia, lakini hivi sasa tayari imeshalifikia lengo hilo muhimu.

  • Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo

    Mazungumzo baina ya Waafghani; njia pekee ya kutatua matatizo na changamoto zilizopo

    Jul 08, 2021 05:46

    Mazungumzo ya pande tatu kati ya jumbe za Afganistan na Iran yamefanyika mjini Tehran kwa madhumuni ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa nchi hiyo kwa kutegemea mazungumzo baina ya makundi tofauti ya nchi hiyo.

  • Iran: Israel inabeba dhima ya kutekwa wanadiplomasia wa Kiirani Lebanon

    Iran: Israel inabeba dhima ya kutekwa wanadiplomasia wa Kiirani Lebanon

    Jul 04, 2021 22:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake ndio wanaobeba dhima ya kisiasa na kisheria kuhusu hatima ya wanadiplomasia wanne wa Kiirani waliotekwa nyara nchini Lebanon mwaka 1982.

  • Hamas: Uhusiano na Iran ni wa muda mrefu na unaendelea

    Hamas: Uhusiano na Iran ni wa muda mrefu na unaendelea

    Jul 04, 2021 22:09

    Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu na kusisitiza kuwa harakati hiyo pia inataka kuboresha uhusiano na Saudi Arabia na nchi zingine zote isipokuwa utawala bandia wa Israel.

  • Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Jul 04, 2021 09:04

    Rais wa Uganda amemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi akimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran; huku akieleza kuwa Kampala ipo tayari kuimarisha uhusiano wake na serikali ijayo ya Tehran.

  • Usafirishaji nje bidhaa za Iran waongezeka kwa asilimia 68

    Usafirishaji nje bidhaa za Iran waongezeka kwa asilimia 68

    Jul 03, 2021 22:07

    Mkuu wa Taasisi ya Ustawi wa Biashara ya Iran amesema kuwa, usafirishaji nje bidhaa za Iran umeongerzka kwa asilimia 68 katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzoni mwa mwaka huu wa 1400 wa Hijria Shamsia ikilinganishwa na wakati kama huu katika mwaka uliopita wa Kiirani.

  • Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Jul 03, 2021 08:11

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.

  • Amir Abdollahian: Israel haina nafasi katika mustakabali wa Asia Magharibi

    Amir Abdollahian: Israel haina nafasi katika mustakabali wa Asia Magharibi

    Jul 03, 2021 03:43

    Hossein Amir-Abdollahian, mshauri maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: "Utawala wa Israel hautakuwa na nafasi yoyote katika mustakabali wa eneo (la Asia Magharibi).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS