Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 08:45

    Bei za mafuta na dhahabu katika soko la kimataifa kote duniani zimepanda kufuatia kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 05:05

    Joe Biden ambaye ni miongoni ma wanasiasa wa chama cha Democratic wanaochuana kupata tiketi ya kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi ujao wa rais utakaofanyika mwaka huu nchini Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Meja Jenerali Mousavi: Iran itatoa jibu kali na la haraka ikichokozwa

    Meja Jenerali Mousavi: Iran itatoa jibu kali na la haraka ikichokozwa

    Jan 02, 2020 23:22

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikosi vya Jeshi la Iran viko tayari kutoa jibu kali na la haraka kwa aina yoyote ya vitisho na chokochoko za adui.

  • Wahadhari na wanazuoni wa Iran wafanya kikao cha kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Wahadhari na wanazuoni wa Iran wafanya kikao cha kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Jan 02, 2020 09:47

    Wanazuoni wa Kiislamu, maprofesa na wahadhiri wa Vyuo Vikuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefanya kikao cha kuonyesha uungaji mkono wao kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Jan 01, 2020 04:37

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani juu ya matokeo mabaya ya hatua zake haribifu na zisizo na mantiki katika eneo la Asia Magharibi.

  • Rais Rouhani awatumia viongozi wenzake duniani salamu za mwaka mpya 2020 Miladia

    Rais Rouhani awatumia viongozi wenzake duniani salamu za mwaka mpya 2020 Miladia

    Jan 01, 2020 00:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa pongezi marais na viongozi na mataifa ya Wakristo kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa Miladia wa 2020.

  • Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Dec 31, 2019 04:02

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamekutana mjini Beijing na kujadiliana juu ya njia na mikakati ya kuyanusuru makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Sayyari: Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanafanyika chini ya uongozi wa Iran

    Sayyari: Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanafanyika chini ya uongozi wa Iran

    Dec 28, 2019 23:23

    Mratibu wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China yanafanyika chini ya uongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanaendelea kama ilivyopangwa

    Mazoezi ya kijeshi ya Iran, Russia na China yanaendelea kama ilivyopangwa

    Dec 28, 2019 09:59

    Mazoezi makubwa ya majeshi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China leo yameingia siku ya pili na yanaendelea kama ilivyopangwa.

  • Mousavi: Wadau wote duniani wana mchango katika zama za baada ya Magharibi

    Mousavi: Wadau wote duniani wana mchango katika zama za baada ya Magharibi

    Dec 28, 2019 00:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hivi sasa, sisi tunaishi katika dunia ya baada ya enzi za Magharibi, ambapo wadau wote duniani wana mchango katika mahusiano ya zama hizo."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS