-
Zarif: Nchi za Ulaya zifungamane na mapatano ya JCPOA
Nov 05, 2019 23:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri wa Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Ulaya zifungamane na ahadi zao katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) .
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zilizofeli za Washington
Nov 05, 2019 08:06Serikali ya Trump inatekeleza vikwazo dhidi ya Iran ambavyo havijawahi kushuhudiwa huko nyuma baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana 2018 katika fremu ya siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii; na ingali inaiwekea Iran vikwazo vipya.
-
Rais Rouhani: Iran kuchukua hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake kwenye JCPOA
Nov 05, 2019 04:37Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaanza kutekeleza hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake kwenya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuanzia kesho.
-
Taarifa ya pamoja ya Kansela wa Ujerumani na Waziri Mkuu wa India kuhusu makubaliano ya JCPOA
Nov 03, 2019 04:21Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalikuwa natija ya juhudi za kidiplomasia na mazungumzo ya awamu kadhaa kati ya Iran na kundi la 5+1; hivi sasa yanakabiliwa na hatari kubwa kufuatia hatua ya Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano hayo na kutotekeleza ahadi nchi za Ulaya; hatua iliyokabiliwa na radiamali kali ya Iran ambayo pia imeamua kupunguza hatua kwa hatua uwajibikaji wake ndani ya makubaliano hayo.
-
SEPAH: Watu milioni 8.5 wameuawa kutokana na uingiliaji mambo wa Marekani
Nov 02, 2019 09:13Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema watu zaidi ya milioni nane na laki tano wameuawa kutokana na uingiliaji wa mambo wa Marekani wa moja kwa moja na usio wa moja kwa moja katika eneo na katika ulimwengu wa Kiislamu, ndani ya miaka 40 iliyopita.
-
Vikwazo vipya vya Marekani na waitifaki wake wa eneo dhidi ya Iran na makundi ya muqawama
Oct 31, 2019 21:40Sera za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ni kuendelea kushadidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika fremu ya 'mashinikizo ya juu kabisa' kwa kushirikiana na waitifaki wake. Kwa msingi huo Trump sasa anajaribu pia kuyawekea vikwazo makundi ya muqawama au mapambano ya Kiislamu katika eneo.
-
IRGC: Uvamizi wowote dhidi ya Iran utakabiliwa na jibu kali
Oct 31, 2019 10:38Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jaribio lolote la maadui la kujaribu kuvamia ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litapokea jibu kali.
-
Iran na Uturuki; washirika wawili wa kuaminiana katika wakati mgumu
Oct 31, 2019 06:56Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki, kama nchi mbili jirani zina kiwango kizuri cha uhusiano katika nyuga mbali mbali hasa za kiuchumi na katika uga wa kieneo pia ni nchi mbili athirifu.
-
Ukosoaji mkali wa Human Rights Watch kwa Marekani kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Iran
Oct 30, 2019 10:10Baada ya kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump ya Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo bali hata iliongeza vikwazo vingine vingi na kujigamba kuwa imeiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa ambavyo havijawahi kuwekewa nchi yoyote ile duniani.
-
Mousavi: Iraq na Syria ziliisambaratisha kitambo ISIS kwa msaada wa Iran
Oct 28, 2019 08:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) lilisambaratishwa na Iraq na Syria muda mrefu umepita, kwa msaada wa kilojistiki wa Jamhuri ya Kiislamu.