-
Athari za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran zafika katika fukwe za Ulaya
Oct 16, 2019 01:04Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran vimeanza kuziathiri nchi za Ulaya kwa njia isiyo ya moja kwa moja.
-
Larijani: Chaguo la kijeshi haliwezi kusuluhisha mgogoro wa Syria
Oct 14, 2019 04:31Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mgogoro wa Syria hauwezi kupatiwa ufumbuzi kupitia uingiliaji wa kijeshi.
-
WHO: Nchi za dunia ziige Iran katika kutoa huduma za afya
Oct 14, 2019 04:25Shirika la Afya Duniani WHO limeziasa nchi nyingine duniani kuwa na mfumo mzuri wa tiba na huduma za afya kama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mwanasayansi wa Iran anashikiliwa Marekani kinyume cha sheria
Oct 13, 2019 23:25Mwanasayansi Muirani, Profesa Masoud Suleimani, anashikiliwa nchini Marekani kwa muda wa mwaka mmoja sasa kinyume cha sheria.
-
Rais Putin apinga madai ya kuhusika Iran katika hujuma dhidi ya Aramco, Saudia
Oct 13, 2019 23:25Rais Vladimir Putin wa Russia amepinga kutuhumiwa Iran kuwa ilihusika katika shambulizi dhidi ya kituo kikubwa cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia.
-
Putin: Nchi za Kiarabu ziheshimu Iran na maslahi yake katika eneo
Oct 13, 2019 04:39Rais Vladimir Putin wa Russia ameziasa nchi za Kiarabu na nyinginezo katika Ghuba ya Uajemi na eneo la Asia Magharibi kuiheshimu Iran na kuitambua kama taifa lenye uwezo mkubwa katika eneo.
-
Zarif: Iran inapinga silaha za nyuklia kwa kuwa zimeharamishwa na Uislamu
Oct 13, 2019 04:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inapinga vikali silaha za nyuklia kwa kuwa matumizi yake yameharamishwa na sheria za Uislamu.
-
Salami: Adui hana nguvu yoyote mbele ya taifa la Iran
Oct 12, 2019 04:33Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa maadui hawana dira wala nguvu yoyote mkabala wa taifa imara la Iran.
-
Kukosolewa ukwamishaji wa Marekani wa safari za wawakilishi wa nchi mbalimbali kuelekea Umoja wa Mataifa
Oct 10, 2019 03:02Kwa kuzingatia kuwa, makao makuu ya Umoja wa Mataifa yapo mjini New York, siku zote Marekani imekuwa ikilitumia suala la kutoa visa kwa jumbe na washiriki wa mikutano na vikao vya Umoja wa Mataifa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi zinazoipinga na zisizokubaliana na siasa zake.
-
Uturuki yaihakikishia Iran, mashambulizi yake Syria ni ya muda mfupi
Oct 08, 2019 04:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amemhakikishia mwenzake wa Iran kwamba, mashambulizi ya jeshi la nchi hiyo huko kaskazini mwa Syria yaliyoanza Jumatatu usiku ni ya muda mfupi.