-
Iran yasema vita havitaibuka katika eneo
May 19, 2019 03:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema hakuna vita vitakavyoibuka Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) pamoja na kuwepo hali ya taharuki baina ya Iran na Marekani.
-
Sisitizo la Ujerumani la kutokuwa na natija siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi" za Donald Trump dhidi ya Iran
May 19, 2019 02:34Rais Donald Trump wa Marekani iwe ni katika kipindi cha kampeni zake za uchaguzi au baada ya kuingia katika ikulu ya White House Januari 2017, ametanguliza mbele mkondo wa siasa za kutaka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kwa mara nyingine EU yapinga siasa za Marekani kuhusu Iran
May 18, 2019 20:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani kwa mara nyingine amesisitiza kuwa Umoja wa Ulaya unapinga siasa za Marekani dhidi ya Iran na kusema kuwa siasa hizo za kiuadui hazisaidii chochote.
-
Kulegeza msimamo Marekani kuhusiana na shambulio la kijeshi dhidi ya Iran
May 18, 2019 05:48Rais Donald Trump wa Marekani iwe ni katika kipindi cha kampeni zake za uchaguzi au baada ya kuingia katika ikulu ya White House Januari 2017, amechukua mkondo wa siasa za kutaka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
NATO: Taarifa za Marekani kuihusu Iran si kinaifu
May 18, 2019 03:17Afisa mmoja wa kitengo cha upelelezi wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi NATO amekosoa taarifa zinazotolewa na Marekani kuhusu maandalizi ya Iran kwa ajili ya kushambulia maslahi ya Marekani katika eneo na kuongeza kuwa, taarifa hizo kuihusu Tehran si za kukinaisha na hata ni za kudhalilisha.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China; mazungumzo ya kisiasa na kiuchumi
May 18, 2019 02:55Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif katika bara Asia iliendelea kwa kuutembelea mji mkuu wa China na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na hivyo kufungua ukurasa mpya wa udiplimasia wa kieneo wa Iran.
-
Zarif ajibu matamshi mapya ya Trump; Timu B yasema hiki, Trump anasema kingine
May 17, 2019 23:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema migongano katika kauli za watawala wa Marekani inaonyesha wazi kuwa hawafahamu kile wanachopaswa kufanya.
-
Udharura wa ulimwengu uliostaarabika kusimama mbele ya Marekani
May 17, 2019 22:51Akiwa katika safari ya kuitembelea Japan, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza na viongozi wa nchi hiyo kuhusu mapatano ya nyuklia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, na vile vile siasa haribifu za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Gazeti la Saudia laitaka Marekani iishambulie Iran, lasema vikwazo havina athari
May 17, 2019 02:49Gazeti la Saudi Arabia lenye mfungamano na utawala wa Aal-Saud limeitaka Marekani ianzishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, likidai kuwa Tehran na Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen wamehusika na hujuma dhidi ya taasisi za mafuta za shirika la ARAMCO la Saudia.
-
Kilele cha uadui wa Marekani; Iran mshindi wa vita vya irada (azma/nia)
May 17, 2019 02:44Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH, amesisitiza kwamba maadui wamefikia mwisho wa njia na kwamba licha ya haiba yao ya kidhahiri lakini mifupa yao imeoza kwa ndani.