Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Rouhani: Tutavishinda vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kwa umoja na msaada wa wananchi

    Rais Rouhani: Tutavishinda vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kwa umoja na msaada wa wananchi

    Nov 05, 2018 10:19

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, taifa hili litafanikiwa kuvishinda vikwazo vya Marekani dhidi yake.

  • Pompeo akiri kutengwa Washington katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran

    Pompeo akiri kutengwa Washington katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran

    Nov 05, 2018 03:53

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amekiri kuwa Washington imetangwa katika kutekeleza vikwazo dhidi ya Iran.

  • Rais Rouhani apongeza kushiriki wananchi katika hamasa ya tarehe 13 Aban

    Rais Rouhani apongeza kushiriki wananchi katika hamasa ya tarehe 13 Aban

    Nov 05, 2018 03:47

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kufanyika Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari kunadhihisha namna wananchi walivyofungamana na walivyo na shauku na Mapinduzi ya Kiislamu na malengo yake.

  • Washington Post: Marekani inaogopa nguvu za kijeshi za Iran

    Washington Post: Marekani inaogopa nguvu za kijeshi za Iran

    Nov 04, 2018 12:18

    Gazeti la Washington Post limeashiria jinsi Marekani ilivyorudi nyuma kutoka eneo la Ghuba ya Uajemi katika miezi kadhaa iliyopita na kuripoti kuwa viongozi wa nchi hiyo wana wasiwasi kutokana na uwezo wa kijeshi wa Iran unaozidi kuongezeka.

  • Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Nov 04, 2018 04:40

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Rais Donald Trump wa Marekani ni 'mdogo sana' kuweza kufanikiwa kulipigisha magoti taifa la Iran.

  • Zarif: Dunia yote inapinga sera hasi za Marekani dhidi ya Iran

    Zarif: Dunia yote inapinga sera hasi za Marekani dhidi ya Iran

    Nov 04, 2018 04:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera hasi na maamuzi yanayokiuka sheria za kimataifa ya Marekani yanakabiliwa na upinzani mkubwa katika kila kona ya dunia, huku Washington ikijiandaa kuanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Tehran.

  • Iran yaanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kivita aina ya 'Kauthar' + Video

    Iran yaanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kivita aina ya 'Kauthar' + Video

    Nov 03, 2018 23:11

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kisasa ya kivita iliyopewa jina la 'Kauthar'.

  • Hatua za mwisho za Ulaya za kuanzisha mfumo huru maalumu wa kifedha kati yake na Iran

    Hatua za mwisho za Ulaya za kuanzisha mfumo huru maalumu wa kifedha kati yake na Iran

    Nov 03, 2018 23:05

    Kufuatia kutangazwa duru mpya ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vinatazamiwa kuanza kutekelezwa kuanzia tarehe 5 mwezi huu huku vikijumuisha sekta ya mafuta, benki na safari za meli; nchi za Ulaya zimetoa taarifa zikisisitiza kupiga hatua kubwa katika kutayarisha mfumo huo maalumu wa kifedha kati yake na Iran.

  • Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington

    Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington

    Nov 03, 2018 11:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ushirikiano na nchi rafiki na kwa kutegemea uwezo wake wa ndani na kimataifa, itatumia busara na kuweza kuvuka vikwazo visivyo vya kisheria vya Marekani.

  • Novemba 4; kukaribia siku ya mtihani mgumu kwa Umoja wa Ulaya

    Novemba 4; kukaribia siku ya mtihani mgumu kwa Umoja wa Ulaya

    Nov 03, 2018 04:41

    Siku tatu kabla ya kuanza awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, Rais Hassan Rouhani alizitaka nchi za Ulaya kusimama imara kukabiliana na mielekeo ya Washington ya kujichukulia hatua za upande mmoja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS