Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran

    UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran

    Jul 18, 2025 09:58

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani mauaji ya wafanyakazi wawili wa vyombo vya habari wa Iran wakati wa mashambulizi ya anga ya Israel kwenye makao makuu ya Shirika la Utangazaji la Iran, IRIB mjini Tehran mwezi uliopita.

  • Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jul 18, 2025 08:53

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken, amekosoa mwelekeo wa rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran; na licha ya kuibua madai mengine mapya amesema: Iran bado haijaamua kuunda silaha za nyuklia na imetekeleza ahadi zake katika JCPOA.

  • Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

    Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

    Jul 18, 2025 01:39

    Afisa mmoja mwandamizi wa kisiasa wa Iran ameiambia Press TV kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaingia kwenye mazungumzo mapya na Marekani kwa kutumia mfumo au ajenda ya hapo awali, baada ya funzo ililopata kutokana na mazungumzo ya hapo kabla.

  • Wabunge wa Iran waziasa nchi 44 ziiwekea Israel vikwazo

    Wabunge wa Iran waziasa nchi 44 ziiwekea Israel vikwazo

    Jul 17, 2025 11:20

    Wanachama wa Kamati ya Mahakama na Sheria ya Bunge la Iran wametoa wito kwa makumi ya nchi duniani kuchukua hatua za kuiwekea Israel vikwazo kutokana na utawala huo "kukiuka kanuni za kimataifa na haki za binadamu."

  • Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Jul 17, 2025 11:04

    Meja Jenerali Mohammad Pakpour, Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ametangaza kwamba majeshi ya Iran yamejipanga kikamilifu kushambulia tena, akiwaonya maadui kwamba uchokozi wowote ujao utakabiliwa na jibu la haraka, na kuendeleza vita hivyo pale vilipoishia.

  • Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

    Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

    Jul 17, 2025 07:19

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametupilia mbali tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na Marekani dhidi ya Iran kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu akisema "hazina msingi wowote" na akalaani ushiriki wa kijeshi wa Washington katika hujuma dhidi ya Yemen.

  • Iran: US inatumia vikwazo kuwanyamazisha wanaokosoa mauaji ya halaiki Gaza

    Iran: US inatumia vikwazo kuwanyamazisha wanaokosoa mauaji ya halaiki Gaza

    Jul 17, 2025 02:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei amesema Marekani inajaribu kuwanyamazisha wakosoaji wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Gaza kwa kuwawekea vikwazo.

  • Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Jul 16, 2025 23:05

    Umoja wa Ulaya, ukifuata nyayo za Marekani, umeendeleza siasa za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika nyanja mbalimbali katika muhula wa pili wa uongozi wa Donald Trump kwa shabaha ya kuilazimisha Tehran isalimu amri mbele ya matakwa ya kupindukia mipaka ya nchi za Magharibi.

  • Bunge: Marekani itimize masharti ya Iran iwapo inataka kuendelea na mazungumzo

    Bunge: Marekani itimize masharti ya Iran iwapo inataka kuendelea na mazungumzo

    Jul 16, 2025 10:54

    Bunge la Iran limetoa taarifa na kutangaza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kufanya mazungumzo na Marekani kama ilivyokuwa kabla ya uchokozi wa hivi karibuni, na kwamba hakuna mazungumzo mapya na Marekani yanapaswa kufanyikakabla ya masharti ya Tehran kutimizwa.

  • Kiongozi Muadhamu: Israel iliikimbilia Marekani kulilia usitishaji vita na Iran

    Kiongozi Muadhamu: Israel iliikimbilia Marekani kulilia usitishaji vita na Iran

    Jul 16, 2025 08:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu pekee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS