Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani jinai za kivita za Marekani nchini Yemen

    Iran yalaani jinai za kivita za Marekani nchini Yemen

    May 02, 2025 23:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amelaani vikali wimbi la mashambulizi ya jeshi la Marekani katika muda wa saa 24 zilizopita katika maeneo mbalimbali ya majimbo ya Sana'a, Saada, na Al-Jawf nchini Yemen, yakilenga miundombinu na maeneo ya makazi ya Yemen.

  • Araghchi: Iran imeazimia kikweli kufikia makubaliano yenye uwiano

    Araghchi: Iran imeazimia kikweli kufikia makubaliano yenye uwiano

    May 02, 2025 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kuwa Iran hivi sasa imeazimia kikwelikweli kufikia makubaliano ya haki na yenye uwiano kuliko wakati mwingine wowote.

  • Mkuu wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa Taifa Iran ajibu vitisho vya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Mkuu wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa Taifa Iran ajibu vitisho vya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    May 02, 2025 04:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amejibu vitisho vya Waziri wa Ulinzi wa Marekani akisema kuwa, Wamarekani wenyewe ndio watakaolipa gharama ya mienendo yao inayokinzana.

  • Baqaei atangaza mabadiliko katika ratiba ya mazungumzo ya Iran na Marekani

    Baqaei atangaza mabadiliko katika ratiba ya mazungumzo ya Iran na Marekani

    May 02, 2025 03:54

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kubadilishwa tarehe ya duru ijayo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja ya Iran na Marekani ambayo yalipangwa kufanyika Jumamosi ya tarehe 4 Mei huko Roma, mji mkuu wa Italia.

  • Iran yaunga mkono 'mazungumzo ya jadi' na mataifa ya Ghuba ya Uajemi

    Iran yaunga mkono 'mazungumzo ya jadi' na mataifa ya Ghuba ya Uajemi

    May 01, 2025 23:22

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesisitiza haja ya kufanyika mazungumzo ya dhati na jadi kati ya Iran na nchi za Ghuba ya Uajemi, akiyaeleza mazungumzo hayo kama msingi wa utulivu katika eneo.

  • Majibu ya Tehran kwa Shutuma za Uongo za Ufaransa Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Amani wa Iran

    Majibu ya Tehran kwa Shutuma za Uongo za Ufaransa Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Amani wa Iran

    Apr 30, 2025 22:48

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeed Iravani, amewatumia barua Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akielezea kuwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kwamba Iran iko "katika hatua ya mwisho" ya kuzalisha silaha za nyuklia ni yasiyo na msingi na kisiasa ni hatua isiyo ya uwajibikaji. Iran haijawahi kuwa na nia ya kutafuta silaha za nyuklia na haijabadilisha sera yake ya ulinzi.

  • Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Apr 29, 2025 22:59

    Mkutano wa tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika ulifanyika mjini Tehran wakati kivuli kizito cha sera za nchi za Magharibi dhidi ya Iran na Afrika kimeathiri mahusiano mengi ya kimataifa kati ya Iran na Afrika.

  • Baqaei: IAEA inatakiwa kufanyia kazi masuala ya kiufundi, na si ya kisiasa

    Baqaei: IAEA inatakiwa kufanyia kazi masuala ya kiufundi, na si ya kisiasa

    Apr 28, 2025 23:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Iran inataraji kuwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) utachukua hatua kwa mujibu wa majukumu yake ya kiufundi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia mripuko 'mchungu' kusini mwa Iran

    Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia mripuko 'mchungu' kusini mwa Iran

    Apr 28, 2025 04:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa salamu za rambirambi kwa familia zinazoomboleza wahanga wa mripuko "mchungu" katika Bandari ya Shahid Rajaee katika mji wa kusini wa Bandar Abbas, na kutaka uchunguzi wa kina ufanyike kuhusiana na tukio hilo.

  • Iran yaionya Israel; Shambulio lolote la kijeshi litajibiwa

    Iran yaionya Israel; Shambulio lolote la kijeshi litajibiwa

    Apr 28, 2025 04:31

    Katika ujumbe wa kijasiri, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekashifu juhudi za "kinjozi" za Israel za kuishurutisha Tehran na kuonya kwamba, shambulio lolote la kijeshi dhidi ya taifa hili litajibiwa mara moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS