Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kama si Iran, nani atakayeunusuru ulimwengu na shari ya wazi na iliyojificha ya Israel?

    Kama si Iran, nani atakayeunusuru ulimwengu na shari ya wazi na iliyojificha ya Israel?

    Jan 10, 2025 03:58

    Kwa miaka mingi sasa Israel imekuwa ikitekeleza sera za ardhi iliyochomwa (scorched-earth policy) katika eneo la Asia Magharibi. Kuanzia mashambulizi yasiyosita katika Ukanda wa Gaza na mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina hadi kuwauwa kigaidi wasomi wa nyuklia wa Iran na mashambulizi ya anga dhidi ya Syria, ni sehemu ya sera za Israel ambazo zimejikita katika kueneza vita na hali ya mchafukoge.

  •  Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Qatar yaongezeka kwa 53%

    Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Qatar yaongezeka kwa 53%

    Jan 09, 2025 07:59

    Mabadilishano ya kibiashara kati ya Qatar na Jamahuri ya Kiislamu ya Iran yameongezeka kwa kasi katika kipindi cha miezi michache iliyopita.

  • Mifumo mipya ya ulinzi wa anga isiyojulikana kujaribiwa katika mazoezi ya Jeshi la Iran

    Mifumo mipya ya ulinzi wa anga isiyojulikana kujaribiwa katika mazoezi ya Jeshi la Iran

    Jan 07, 2025 03:06

    Kamanda wa Kambi ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga ya Iran ametangaza kuwa vitengo vya ulinzi wa anga vya Jeshi la Taifa na Jeshi la Walinzi wa Mapindizi ya Kiislamu (IRGC) vimewekwa karibu na vituo nyeti, vikiwa na mifumo mipya ya ulinzi wa anga ambayo itafanyiwa mazoezi siku chache zijazo, katika luteka ya Jeshi la Iran

  • Salami: Mhimili wa Muqawama upo katika 'kilele cha nguvu zake

    Salami: Mhimili wa Muqawama upo katika 'kilele cha nguvu zake"

    Jan 06, 2025 10:11

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema kuwa Mhimili wa Muqawama katika eneo la Magharibi mwa Asia upo katika kilele cha nguvu zake.

  • Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen

    Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen

    Jan 05, 2025 07:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi mapya ya anga ya Marekani na Uingereza kwenye miundombinu ya mkoa wa Sa'ada wa kaskazini mwa Yemen.

  • Askofu Mkuu wa Ghana: Taswira ya Iran inaheshimiwa miongoni mwa Wakristo

    Askofu Mkuu wa Ghana: Taswira ya Iran inaheshimiwa miongoni mwa Wakristo

    Jan 05, 2025 04:23

    John Bonaventure Kwofie, Askofu Mkuu wa Ghana na Kiongozi wa Wakatoliki wa nchi hiyo ameeleza kuwa taswira ya Iran inaheshimiika na kuaminika miongoni mwa waumini wa Kikristo.

  • Rais wa Iran kufanya safari nchini Tajikistan

    Rais wa Iran kufanya safari nchini Tajikistan

    Jan 05, 2025 00:07

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni anatarajiwa kufanya safari ya kikazi nchini Tajikistan.

  • Araqchi: Tupo tayari kwa mazungumzo yenye tija kuhusu mpango wetu wa nyuklia

    Araqchi: Tupo tayari kwa mazungumzo yenye tija kuhusu mpango wetu wa nyuklia

    Jan 04, 2025 04:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran iko tayari kufanya mazungumzo yenye tija na bila ya kuchelewa kuhusu mpango wake wa nyuklia.

  • Balozi wa Saudia aitwa Wizara ya Mambo ya Nje baada ya Riyadh kuwanyonga raia 6 wa Iran

    Balozi wa Saudia aitwa Wizara ya Mambo ya Nje baada ya Riyadh kuwanyonga raia 6 wa Iran

    Jan 02, 2025 04:17

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Balozi wa Saudi Arabia mjini Tehran ameitwa wizarani hapo na kukabidhiwa malalamiko ya kimmandishi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa hatua ya Saudia ya kuwanyonga raia sita wa Iran waliokuwa wamefungwa jela nchini humo, hatua ambayo imeelezwa kuwa inapingana na mwenendo wa mashirikiano ya vyombo vya mahakama yaliyopo baina ya nchi mbili.

  • Gharib Abadi: Iran ni mhanga na iko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Gharib Abadi: Iran ni mhanga na iko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Jan 01, 2025 09:10

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisheria na kimataifa amesema kuwa ugaidi ni tatizo linalotishia amani na utulivu wa jamii na kwamba Iran ni mhanga wa uovu huu, na daima iko mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS