-
Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal
Feb 23, 2023 04:07Ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa chama cha wafanyakazi cha nchi hiyo umeasili mjini Tehran.
-
Mshauri mkuu wa Rais wa Senegal anawasili Tehran leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yake
Feb 21, 2023 23:43Kaimu wa Mkuu wa Klabu ya Biashara ya Iran na Afrika amesema kuwa, ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa muungano wa wafanyabiashara wa nchi hiyo unawasili mjini Tehran leo kwa ajili ya kuimaimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa pande mbili.
-
Amir-Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Guinea unazidi kuimarika
Feb 09, 2023 08:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Guinea ni mzuri, wa kirafiki, wa kihistoria na unaoendelea kuimarika.
-
Raisi: Uhusiano wa Iran na Zimbabwe ni wa kirafiki
Feb 07, 2023 11:48Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, amesema uhusiano wa Iran na Zimbabwe baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu daima umekuwa wa kirafiki na unaendelea kuimarika.
-
Kufanyika kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya Kiuchumi ya Iran na Zimbabwe
Feb 05, 2023 23:13Kikao cha tisa cha Kamisheni ya Pamoja ya Kiuchumi ya Iran na Zimbabwe kimefanyika hapa mjini Tehran.
-
Abdollahian: Iran inasaidia kupatikana amani na uthabiti barani Afrika
Feb 01, 2023 04:06Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ipo mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi na inasadia kupatikana amani na uthabiti barani Afrika.
-
Spika wa Bunge la Algeria: Tunataka kuimarisha uhusiano na Iran
Jan 29, 2023 09:52Spika wa Bunge la Algeria amesema: Tunajivunia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga mbalimbali na tunataka kuimarisha uhusiano kati ya mataifa yetu mawili.
-
Qalibaf: Afrika ni mojawapo ya fursa muhimu za kiuchumi kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Jan 29, 2023 04:05Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kabla ya kuondoka Tehran kuelekea ziarani nchini Algeria kwa lengo la kushiriki katika mkutano wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa: Afrika katika mazingira ya sasa ni moja ya fursa muhimu za kiuchumi na kiutamaduni kwa Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani
Jan 27, 2023 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tuko tayari kutoa ujuzi na uzoefu wetu, hasa katika nyanja za elimu, kilimo, uvuvi, ujenzi wa mabwawa, usimamizi wa vyanzo vya maji na kilimo umwagiliaji, ili kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za mapinduzi ya viwanda.
-
Gharibabadi: Magharibi inatumia suala la wanawake kuzishinikiza nchi huru
Jan 26, 2023 23:17Afisa wa ngazi ya juu wa haki za binadamu nchini Iran amesema nchi za Magharibi zinatumia suala la wanawake kuziweka chini ya mashinikizo nchi huru duniani.