Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Dec 20, 2023 23:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Afrika Kusini na kujadiliana naye masuala mbalimbali muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa na hasa vita vya Ghaza huko Palestina.

  • Ayatullah Ramezani: Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa mujahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Ayatullah Ramezani: Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa mujahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Dec 20, 2023 11:58

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) amekutana na kufanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusema kuwa, Sheikh Zakzaky ni mfano halisi wa Mujahid fi Sabilillah (mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu).

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 00:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

  • Ghana ni kituo kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazouzwa barani Afrika

    Ghana ni kituo kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazouzwa barani Afrika

    Nov 25, 2023 22:54

    Msemaji wa Kamisheni ya Ustawi wa Biashara ya Chama cha Viwanda, Madini na Biashara cha Iran ametangaza kuwa, Ghana ni kituo cha kwanza kinachoongoza kwa bidhaa za Iran zinazopelekwa barani Afrika.

  • Rais Raisi: Hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la UN kutekeleza jukumu la kulinda amani ya dunia

    Rais Raisi: Hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la UN kutekeleza jukumu la kulinda amani ya dunia

    Oct 22, 2023 23:32

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini kuwa, hakuna matumaini tena kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutekeleza jukumu lake la kulinda amani ya dunia.

  • Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Oct 22, 2023 11:30

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini kwamba: Hii leo dunia inashuhudia jinai zinazofanywa na utawala wa kibaguzi na muuaji wa watoto wachanga dhidi ya watu wa Gaza.

  • Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Iran na Tunisia zafanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia wananchi wa Ghaza

    Oct 19, 2023 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Tunisia mjini Jeddah, Saudi Arabia na pande mbili zimejadiliana njia za kuwasaidia wananchi wa Ghaza na kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu

    Oct 14, 2023 10:30

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusisitiza kuwa, Palestina na Ghaza ni dhihirisho la nguvu za Uislamu.

  • Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO

    Oct 12, 2023 10:08

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

  • Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO

    Oct 12, 2023 10:05

    Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS