-
Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa
Sep 05, 2017 23:24Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limemuua mmoja wa makamanda wake wa ngazi ya juu baada ya kutaka kujisalimisha kwa askari wa Kikurdi wa Peshmerga.
-
Sisitizo la kulindwa umoja wa kitaifa nchini Iraq
Sep 03, 2017 23:49Msimamo wa eneo la Kurdistan wa kutaka kuitisha kura ya maoni ya tarehe 25 mwezi huu kwa ajili ya kujitenga eneo hilo, umeendelea kukabiliwa na radiamali kali ya serikali ya Iraq, makundi tofauti ya nchi hiyo, nchi za eneo na ulimwengu mzima kwa ujumla.
-
Familia za Daesh zakimbia kaskazini mwa mkoa wa Salahuddin Iraq
Sep 03, 2017 23:13Sambamba na kukaribia wakati wa kutekelezwa oparesheni ya kuukomboa mji wa Shirqat katika mkoa wa Salahhudin huko kaskazini mwa Iraq, familia za magaidi wa kundi la Daesh zimeripotiwa kulikimbia eneo hilo usiku kucha.
-
Magaidi wa Daesh kusafishwa kikamilifu Iraq, karibuni hivi
Sep 02, 2017 21:59Mbunge mmoja wa Iraq ambaye pia anashughulikia masuala ya usalama nchini humo amesema kuwa, karibuni hivi itaanza operesheni ya kuwafurusha magaidi wa Daesh katika ngome yao iliyobakia ya al Hawija na hivyo kuwasafisha kabisa magaidi hao nchini Iraq.
-
US: Ni kweli tumeua raia 61 katika hujuma zetu za anga Syria na Iraq
Sep 02, 2017 03:23Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani umekiri kuua makumi ya raia katika wimbi jipya la mashambulizi yake ya anga katika nchi za Iraq na Syria.
-
Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad
Aug 28, 2017 10:19Balozi wa Iraq nchini Algeria ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwa nchi ya kwanza kuwasaidia wananchi wa Iraq katika wakati mgumu hasa wakati wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walipokaribia kuutwaa mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.
-
Malengo ya safari ya pamoja ya Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Ufaransa nchini Iraq
Aug 27, 2017 21:46Juzi Jumamosi tarehe 26 Agosti, Jean-Yves Le Drian na Florence Parly, Mawaziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Ufaransa, waliwasili Baghdad, mji mkuu wa Iraq wakiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yao kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa Baghdad.
-
Mji wa Tal Afar Iraq wakombolewa
Aug 26, 2017 11:20Duru za Iraq zimetangaza kuwa mji wa Tal Afar wa magharibi mwa mkoa wa Nainawa (Nineve) huko kaskazini mwa Iraq umekombolewa siku ya saba tangu ilipoanza operesheni ya kuwafurusha magaidi wa ISIS (Daesh) mjini humo.
-
UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh
Aug 22, 2017 23:17Ujumbe wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ulioko nchini Iraq na ofisi ya haki za binadamu ya umoja huo zimetoa ripoti na kutangaza kuwa wanawake na wasichana wa Kiiraqi wanaoishi kwenye miji inayokaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Operesheni kali ya ulipizaji kisasi dhidi ya magaidi yaanza rasmi Syria, makumi ya magaidi waangamizwa
Aug 22, 2017 03:49Hatua ya kwanza ya operesheni ya Kikosi cha Brigedi ya Sayyidu Shuhadaa ya kulipizaji kisasi kwa ajili shahidi Mohsen Hojaji imeanza rasmi kwa kuangamiza zaidi ya magaidi 30 mashariki mwa Syria.