Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo

    Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo

    Jan 11, 2019 12:33

    Malaysia imesema haitawaruhusu wanariadha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo, ikiwa ni katika mwendelezo wa serikali ya Kuala Lumpur wa kupambana na utawala huo batili.

  • Avigdor Lieberman akiri kwamba Israel imeshindwa na harakati ya HAMAS Ukanda wa Ghaza

    Avigdor Lieberman akiri kwamba Israel imeshindwa na harakati ya HAMAS Ukanda wa Ghaza

    Jan 10, 2019 12:22

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala haramu wa Israel, Avigdor Lieberman sambamba na kukiri kwamba siasa za Tel Aviv mbele ya HAMAS zimefeli, amesema kuwa harakati hiyo ya Kiislamu imepata mafanikio makubwa kama ambavyo imeendelea kubakia imara.

  • Jordan yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    Jordan yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    Jan 09, 2019 13:29

    Jordan imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uheshimu sheria za kimataifa na uondoke haraka iwezekanavyo katika Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel

    Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel

    Jan 07, 2019 00:56

    Wanajeshi wa serikali ya Syria wamenasa silaha zilizotegenezwa Marekani na katika utawala haramu wa Israel ambazo zilikuwa zinatumiwa na magaidi wakufurishaji katika mkoa wa Dara'a kusini maghairbi mwa nchi hiyo.

  • CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    Jan 05, 2019 04:27

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ameiomba kanali ya televisheni ya CBS ya Marekani kutorusha hewani mahojiano iliyomfanyia, ambapo alifichua kuhusu uhusiano wa karibu wa kijeshi wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kushadidishwa mzingiro wa Ghaza ni katika sera za kibaguzi za Israel

    Kushadidishwa mzingiro wa Ghaza ni katika sera za kibaguzi za Israel

    Jan 03, 2019 04:50

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekamilisha ujenzi wa ukuta wa kibaguzi baharini kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza na hivyo kushadidisha mzingiro wa eneo hilo

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 04:47

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

  • Vyama vya mrengo wa kulia Israel vinapanga kumuangusha Netanyahu

    Vyama vya mrengo wa kulia Israel vinapanga kumuangusha Netanyahu

    Dec 31, 2018 06:51

    Baada ya kusambaratika baraza la mawaziri la utawala haramu wa Israel na kuchukuliwa uamuzi wa kufanyika uchaguzi wa bunge wa kabla ya wakati katika utawala huo, vyama vya mrengo wa kulia katika muungano tawala vimekumbwa na mgawanyiko mkubwa na sasa vinafuatilia mpango wa kumuangusha waziri mkuu Benjamin Netanyahu.

  • Israel yakerwa na waziri wa Jordan kukanyaga bendera ya utawala huo haramu

    Israel yakerwa na waziri wa Jordan kukanyaga bendera ya utawala huo haramu

    Dec 30, 2018 23:13

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhibishwa na kitendo cha waziri mmoja wa Jordan kukanyaga bendera ya utawala huo haramu.

  • Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Dec 29, 2018 04:28

    Helikopta ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshambulia maeneo ya kusini mwa Ukanda wa Gaza, kwa madai kuwa hujuma hiyo ni ya ulipizaji kisasi baada ya Wapalestina kuwavurumishia roketi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS