-
Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo
Jan 11, 2019 12:33Malaysia imesema haitawaruhusu wanariadha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo, ikiwa ni katika mwendelezo wa serikali ya Kuala Lumpur wa kupambana na utawala huo batili.
-
Avigdor Lieberman akiri kwamba Israel imeshindwa na harakati ya HAMAS Ukanda wa Ghaza
Jan 10, 2019 12:22Waziri wa zamani wa vita wa utawala haramu wa Israel, Avigdor Lieberman sambamba na kukiri kwamba siasa za Tel Aviv mbele ya HAMAS zimefeli, amesema kuwa harakati hiyo ya Kiislamu imepata mafanikio makubwa kama ambavyo imeendelea kubakia imara.
-
Jordan yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria
Jan 09, 2019 13:29Jordan imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uheshimu sheria za kimataifa na uondoke haraka iwezekanavyo katika Miinuko ya Golan ya Syria.
-
Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel
Jan 07, 2019 00:56Wanajeshi wa serikali ya Syria wamenasa silaha zilizotegenezwa Marekani na katika utawala haramu wa Israel ambazo zilikuwa zinatumiwa na magaidi wakufurishaji katika mkoa wa Dara'a kusini maghairbi mwa nchi hiyo.
-
CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi
Jan 05, 2019 04:27Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ameiomba kanali ya televisheni ya CBS ya Marekani kutorusha hewani mahojiano iliyomfanyia, ambapo alifichua kuhusu uhusiano wa karibu wa kijeshi wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kushadidishwa mzingiro wa Ghaza ni katika sera za kibaguzi za Israel
Jan 03, 2019 04:50Utawala wa Kizayuni wa Israel umekamilisha ujenzi wa ukuta wa kibaguzi baharini kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza na hivyo kushadidisha mzingiro wa eneo hilo
-
Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu
Jan 01, 2019 04:47Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.
-
Vyama vya mrengo wa kulia Israel vinapanga kumuangusha Netanyahu
Dec 31, 2018 06:51Baada ya kusambaratika baraza la mawaziri la utawala haramu wa Israel na kuchukuliwa uamuzi wa kufanyika uchaguzi wa bunge wa kabla ya wakati katika utawala huo, vyama vya mrengo wa kulia katika muungano tawala vimekumbwa na mgawanyiko mkubwa na sasa vinafuatilia mpango wa kumuangusha waziri mkuu Benjamin Netanyahu.
-
Israel yakerwa na waziri wa Jordan kukanyaga bendera ya utawala huo haramu
Dec 30, 2018 23:13Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhibishwa na kitendo cha waziri mmoja wa Jordan kukanyaga bendera ya utawala huo haramu.
-
Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza
Dec 29, 2018 04:28Helikopta ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshambulia maeneo ya kusini mwa Ukanda wa Gaza, kwa madai kuwa hujuma hiyo ni ya ulipizaji kisasi baada ya Wapalestina kuwavurumishia roketi.