Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza

    Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza

    Mar 01, 2017 00:57

    Kamanda wa zamani katika jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel eneo, amekiri wazi kwamba jeshi na serikali yote ya utawala huo, vilishindwa katika vita ya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza, Palestina.

  • Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2017 04:22

    Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.

  • Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Feb 27, 2017 23:13

    Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake kwamba, katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita, utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa makumi ya nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hivyo kuwaacha Wapalestina wengine wakitangatanga kutokana na kutokuwa na makazi.

  • Bunge la Ufaransa lamtaka Rais  Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Bunge la Ufaransa lamtaka Rais Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Feb 27, 2017 04:09

    Wabunge wa Ufaransa wamemtaka Rais wa nchi hiyo Francois Hollande aitambue rasmi Palestina.

  • Hamas: Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa kuangamizwa Israel

    Hamas: Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa kuangamizwa Israel

    Feb 24, 2017 23:09

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, sharti la kuweko amani na uthabiti katika Mashariki ya Kati ni kuangamizwa utawala haramu wa Israel.

  • AI: Israel ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    AI: Israel ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    Feb 23, 2017 03:04

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala haramu wa Israel kwa kuhusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu Palestina.

  • Ramadan Shalah: Utawala wa Kizayuni unakabiliwa na matatizo mengi

    Ramadan Shalah: Utawala wa Kizayuni unakabiliwa na matatizo mengi

    Feb 22, 2017 00:37

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islamu ya Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel haupo katika hali nzuri na unakabiliwa na matatizo chungu nzima.

  • Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli

    Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli

    Feb 22, 2017 00:36

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran hazitafua dafu.

  • Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Feb 20, 2017 03:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanana misimamo hasi dhidi ya Iran ya Kiislamu ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na Waziri wa Vita wa Israel katika kikao cha Usalama cha mjini Munich, Ujerumani sio jambo la ghafla.

  • Kufichuliwa kikao cha siri kati ya Waarabu na Wazayuni katika bandari ya Aqaba

    Kufichuliwa kikao cha siri kati ya Waarabu na Wazayuni katika bandari ya Aqaba

    Feb 19, 2017 23:21

    Gazeti moja la Kizayuni limefichua kufanyika kikao cha siri mwaka jana kati ya Marekani, utawala wa Kizayuni, Jordan na Misri katika bandari ya Aqaba huko Jordan kwa ajili ya kuchunguza mazungumzo ya mapatano na upande wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS