Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Mahakama ya ICC yakataa kumwachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast

    Mahakama ya ICC yakataa kumwachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast

    Sep 28, 2017 03:04

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imekataa wito wa kumwachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast.

  • Wafungwa karibu mia moja watoroka jela Ivory Coast

    Wafungwa karibu mia moja watoroka jela Ivory Coast

    Sep 04, 2017 06:05

    Wafungwa wapatao mia moja wameripotiwa kutoroka jela nchini Ivory Coast.

  • Mabadiliko ya ghafla ya mawaziri nchini Kodivaa

    Mabadiliko ya ghafla ya mawaziri nchini Kodivaa

    Jul 20, 2017 07:47

    Rais Alassane Ouattara wa ivory coast amefanya mabadiliko ya ghafla katika baraza lake la mawaziri.

  • Ivory Coast na changamoto ya usalama kabla ya michezo ya Francophone

    Ivory Coast na changamoto ya usalama kabla ya michezo ya Francophone

    Jul 20, 2017 03:41

    Maeneo mbalimbali ya Ivory Coast yameendelea kusumbuliwa na machafuko na hali ya ukosefu wa amani siku moja tu kabla ya kuanza mashindano ya michezo ya nchi wanachama katika jumuiya ya nchi zinazozungumza Kifaransa, Francophone.

  • Wanajeshi watatu wauawa katika uasi jeshini Ivory Coast

    Wanajeshi watatu wauawa katika uasi jeshini Ivory Coast

    Jul 16, 2017 06:55

    Wanajeshi watatu wameuawa katika uasi mpya ulioibuka katika jeshi la Ivory Coast.

  • Saudia yashindwa kuishawishi OIC kutoa azimio dhidi ya Iran

    Saudia yashindwa kuishawishi OIC kutoa azimio dhidi ya Iran

    Jul 15, 2017 02:33

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kisiasa na Usalama wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, pendekezo la Saudia la kuingizwa kipengee cha kuilaani Iran katika taarifa ya mwisho ya kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC limetupiliwa mbali na wajumbe wa kikao hicho.

  • Sisitizo la Ufaransa na Ivory Coast la kuimarisha uhusiano baina yao

    Sisitizo la Ufaransa na Ivory Coast la kuimarisha uhusiano baina yao

    Jun 12, 2017 10:53

    Marais Alassane Ouattara wa Ivory Coast na Emmanuel Macron wa Ufaransa wamesisitiza katika mazungumzo yao ya kwanza tangu Rais huyo mpya wa Ufaransa aliposhika hatamu za uongozi juu ya umuhimu wa kuimarisishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali za kisiasa, kiuchumi na kiusalama.

  • Kuendelea vurugu na mivutano nchini Ivory Coast

    Kuendelea vurugu na mivutano nchini Ivory Coast

    May 16, 2017 12:51

    Sambamba na kuendelea mapigano na vitisho vya wanajeshi waasi katika miji kadhaa nchini Ivory Coast, shughuli za benki, shule na vituo vya biashara zimesitishwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Hatimaye serikali ya Côte d’Ivoire yakubaliana na askari waasi

    Hatimaye serikali ya Côte d’Ivoire yakubaliana na askari waasi

    May 16, 2017 08:23

    Viongozi wa serikali ya Côte d’Ivoire wametangaza kufikiwa makubaliano na askari waasi wa nchi hiyo.

  • Baraza la Usalama wa Taifa Ivory Coast laitisha kikao cha dharura kufuatia uasi wa wanajeshi

    Baraza la Usalama wa Taifa Ivory Coast laitisha kikao cha dharura kufuatia uasi wa wanajeshi

    May 13, 2017 02:32

    Baraza la Usalama wa Taifa la Ivory Coast limefanya kikao cha dharura kufuatia kushadidi fujo zilizosababishwa na uasi wa wanajeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS