Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Ivory Coast yaiomba Iran iisaidie kuimarisha sekta ya uchukuzi

    Ivory Coast yaiomba Iran iisaidie kuimarisha sekta ya uchukuzi

    May 09, 2017 14:22

    Waziri wa Uchukuzi wa Ivory Coast, Amadou Kone ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iisaidie nchi hiyo ya Kiafrika kuboresha mfumo wake wa uchukuzi wa umma.

  • Mawaziri wa uchumi na Fedha wa nchi za ukanda wa Franc CFA wafanya kikao Kodivaa

    Mawaziri wa uchumi na Fedha wa nchi za ukanda wa Franc CFA wafanya kikao Kodivaa

    Apr 14, 2017 15:00

    Mawaziri wa Uchumi na Fedha wa nchi za Ukanda wa Franc CFA, wamekutana mjini Abidjan, Kodivaa kujadili changamoto zinazoikabili sarafu hiyo.

  • Katibu Mkuu wa OIC aonana na Rais wa Kodivaa

    Katibu Mkuu wa OIC aonana na Rais wa Kodivaa

    Mar 17, 2017 03:54

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC ameonana na Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast na pande mbili zimejadiliana masuala ya kieneo na njia za kupambana na misimamo ya kuchupa mipaka.

  • Iran na Ivory Coast kuimarisha uhusiano wao wa pande mbili

    Iran na Ivory Coast kuimarisha uhusiano wao wa pande mbili

    Mar 11, 2017 06:25

    Mansour Shakib-Mehr, Balozi wa Iran nchini Ivory Coast amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga za uchumi, diplomasia na siasa.

  • Kuanza kuondoka askari jeshi wa kudumimisha amani wa UN nchini Kodivaa

    Kuanza kuondoka askari jeshi wa kudumimisha amani wa UN nchini Kodivaa

    Feb 11, 2017 13:24

    Licha ya kuendelea ukosefu wa amani huko Kodivaa katika wiki za hivi karibuni, wanajeshi wa kudumisha amani wa kofia bluu wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa wataondoka nchini humo kwa mujibu wa jedwali la muda ulioainishwa.

  • Wanajeshi wa UN waondoka Kodivaa

    Wanajeshi wa UN waondoka Kodivaa

    Feb 10, 2017 15:45

    Wanajeshi wa kofia bluu wa Umoja wa Mataifa wanaondoka huko Kodivaa licha ya nchi hiyo kuathiriwa na ukosefu wa amani.

  • Uasi wa jeshi waanza tena Ivory Coast, mara hii katika mji wa Adiaké

    Uasi wa jeshi waanza tena Ivory Coast, mara hii katika mji wa Adiaké

    Feb 08, 2017 14:51

    Wanajeshi wa Ivory Coast wamenzisha tena uasi dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

  • Wasiwasi watanda mji mkuu wa Côte d’Ivoire kutokana na tishio la askari waasi

    Wasiwasi watanda mji mkuu wa Côte d’Ivoire kutokana na tishio la askari waasi

    Jan 28, 2017 13:57

    Uasi wa askari katika mji mkuu wa Côte d’Ivoire, Yamoussoukro umewafanya wakazi wa mji huo kupatwa na wasi wasi mkubwa.

  • Serikali Ivory Coast: Mgomo wa wafanyakazi uhitimishwe ili tuimarishe uchumi

    Serikali Ivory Coast: Mgomo wa wafanyakazi uhitimishwe ili tuimarishe uchumi

    Jan 26, 2017 07:57

    Serikali ya Côte d’Ivoire imewataka wafanyakazi wake kuhitimisha mgomo wao mara moja sanjari na kurejea kazini.

  • Kulemazwa Ivory Coast na migomo inayoendelea nchini humo

    Kulemazwa Ivory Coast na migomo inayoendelea nchini humo

    Jan 24, 2017 13:49

    Kuendelea mgogoro nchini Ivory Coast na kuanza migomo ya wafanyakazi wa matabaka mbalimbali kumeifanya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika ilemazwe kutokana na kukosekana huduma nyingi kulikosababishwa na kufungwa baadhi ya idara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS