Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jahangiri

  • Iran: Vikwazo vya Marekani katika sekta yetu ya mafuta na gesi vimefeli vibaya

    Iran: Vikwazo vya Marekani katika sekta yetu ya mafuta na gesi vimefeli vibaya

    Jan 24, 2021 23:01

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani katika sekta yetu ya mafuta na gesi vimeshindwa na kufeli vibaya.

  • Jahangiri: Iran iko mstari wa mbele kupambana na ugaidi

    Jahangiri: Iran iko mstari wa mbele kupambana na ugaidi

    Jan 29, 2019 03:54

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi na kwamba, kama si kujitolea kwa serikali na watu wa Syria na washirika wa nchi hiyo, basi hii leo tishio la kundi la Daesh lingeenea katika nchi zote za kanda hii na maeneo mengine ya dunia.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Oct 30, 2018 01:15

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea mjini Najaf, Iraq, kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Arubaini ya Imam Husain AS na pia kufanya ziara katika Haram tukufu ya Imam Ali AS.

  • Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba

    Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba

    Aug 18, 2018 23:08

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesisitiza kuwa, Iran katu haitagonga mwamba na kuongeza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa na usio na kifani kwa mtazamo wa mali asili, nguvu kazi na uongozi wenye busara katika kukabiliana na vikwazo."

  • Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Dec 31, 2017 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitza azma yake ya kuimarisha uhusiano na nchi za bara la Afrika.

  • Rouhani awapongeza Waislamu kwa Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (saw)

    Rouhani awapongeza Waislamu kwa Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (saw)

    Dec 06, 2017 01:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza Waislamu kote duniani na kuwapa mkono wa heri na baraka kwa mnasaba wa siku ya leo tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal, siku aliyozaliwa ndani yake mbora wa viumbe na rehma ya Mwenyezi Mungu kwa viumbe wake, Muhammad bin Abdullah (saw).

  • Iran yamkosoa Trump kwa kujiondoa makubaliano ya tabianchi

    Iran yamkosoa Trump kwa kujiondoa makubaliano ya tabianchi

    Jun 06, 2017 09:02

    Iran imemkosoa vikali rais wa Marekani kwa kujiondoa katika Makubaliano ya Kimataifa ya Tabianchi .

  • Iran kuiwekea Marekani vikwazo

    Iran kuiwekea Marekani vikwazo

    Mar 26, 2017 09:44

    Kufuatia hatua ya Marekani ya kuiwekea Iran vikwazo, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nayo itachukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kuiwekea Marekani vikwazo.

  • Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa 19 Mei

    Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa 19 Mei

    Mar 22, 2017 03:25

    Makamu wa Kwanza Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali imejitayarisha kikamilifu kwa ajili ya kuandaa uchaguzii wa rais na uchaguzi mdogo wa bunge tarehe 19 Mei.

  • Jahangiri: Lugha za vitisho dhidi ya Iran zimeshindwa na hazina athari yoyote

    Jahangiri: Lugha za vitisho dhidi ya Iran zimeshindwa na hazina athari yoyote

    Feb 07, 2017 00:32

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tawala na watu wanaozungumza na taifa kubwa la Iran kwa lugha za vitisho ndio washindwa wakuu katika medani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS