Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Congo Brazaville

  • Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti

    Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti

    Oct 30, 2019 13:11

    Mvua kubwa zinazonyesha katika nchi za Afrika ya Kati hususan Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati zimesababisha maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yao na pia makazi. Kwa maelezo zaidi, tumtegee sikio mwandishi wetu wa Afrika ya Kati. Mosi Mwasi, akiripoti kutoka Brazzaville

  • Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Sep 07, 2019 22:26

    Umoja wa Mataifa umesisitiza kuwa unaliunga mkono jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Tshisekedi atangaza baraza jipya la mawaziri Congo DR

    Tshisekedi atangaza baraza jipya la mawaziri Congo DR

    Aug 26, 2019 05:12

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametangaza serikali mpya ya nchi hiyo leo Jumatatu, miezi 8 baada ya Felix Tshisekedi kushinda uchaguzi wa rais.

  • Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    May 08, 2019 09:15

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano baina ya askari wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo waliobeba silaha katika mji wa Butembo ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • WHO kuunda kamati ya kujadili mlipuko wa Ebola Congo DR

    WHO kuunda kamati ya kujadili mlipuko wa Ebola Congo DR

    Oct 16, 2018 04:39

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa litaitisha kikao cha kamati ya dharura ya kuamua iwapo mlipuko wa sasa wa maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni mgogoro wa umma unaoitia wasiwasi jamii ya kimataifa au la.

  • Aliyekuwa mgombea urais wa upinzani Kongo Brazzaville afungwa miaka 20 jela

    Aliyekuwa mgombea urais wa upinzani Kongo Brazzaville afungwa miaka 20 jela

    May 12, 2018 03:10

    Aliyekuwa mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha FROCAD nchini Jamhuri ya Kongo Brazaville, Jenerali mstaafu Jean-Marie Michel Mokoko amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuhujumu usalama wa taifa na kumiliki silaha kinyume cha sheria.

  • Waasi washambulia nyumba ya Rais Kabila, waua askari mmoja Congo DR

    Waasi washambulia nyumba ya Rais Kabila, waua askari mmoja Congo DR

    Mar 29, 2018 23:41

    Waasi wa kundi la Mai Mai wameshambulia nyumba ya Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo karibu na mji wa Beni huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na kuua askari mmoja.

  • Botswana yamtaka Kabila Ang'atuke madarakani Congo

    Botswana yamtaka Kabila Ang'atuke madarakani Congo

    Feb 27, 2018 03:12

    Botswana imemtaka Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ang'atuke madarakani.

  • Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Polisi ya Rwanda yaua wakimbizi wa Congo

    Feb 23, 2018 01:14

    Polisi ya Rwanda imeua idadi kadhaa ya wakimbiizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waliokuwa wakifanya maandamano mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa.

  • Mgogoro mkubwa wa Congo DR ndio uliopuuzwa zaidi mwaka 2017

    Mgogoro mkubwa wa Congo DR ndio uliopuuzwa zaidi mwaka 2017

    Dec 20, 2017 00:13

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa na mashirika ya misaada ya kibinadamu umebaini kuwa, mgogoro mkubwa wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ndio uliopuuzwa zaidi katika mwaka huu unaomalizika wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS