Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Apr 07, 2021 03:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa ameashiria kuhusu mkutano wa jana Jumanne mjini Vienna wa Kamisheni ya Pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, muelekeo wa kikao hicho ni chanya na wenye kutia matumaini.

  • Khatibzadeh: Kikao cha 4+1 cha Vienna kitajadili jinsi ya kutekeleza JCPOA

    Khatibzadeh: Kikao cha 4+1 cha Vienna kitajadili jinsi ya kutekeleza JCPOA

    Apr 05, 2021 08:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa, ajenda ya kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya mapatano ya JCPOA ni kujadili jinsi ya kutekeleza vipengee vyote vya mapatano hayo ya nyuklia.

  • Salehi: Mkwamo katika mapatano ya JCPOA umeanza kuondoka

    Salehi: Mkwamo katika mapatano ya JCPOA umeanza kuondoka

    Apr 03, 2021 02:58

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, mkwamo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA umeanza kuondoka na kuongeza kuwa, kwa vile hivi sasa mazungumzo kuhusu JCPOA yameingia katika hatua ya kiufundi na yameshatoka kwenye mivutano ya awali, maana yake ni kwamba mkwamo katika mazungumzo hayo umeanza kuondoka.

  • Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Apr 02, 2021 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.

  • Zarif: Kuna upotoshaji mwingi katika hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuhuisha JCPOA

    Zarif: Kuna upotoshaji mwingi katika hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuhuisha JCPOA

    Mar 26, 2021 00:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai yaliyo dhidi ya Iran yanayotolewa na wakuu wa nchi za Magharibi dhidi ya Iran na kusema kuna upotoshaji mwingi kuhusu hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa kuhuisha mapatano ya nyuklia ya jcpoa.

  • Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA

    Mar 24, 2021 07:51

    Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu JCPOA; Iran haina haraka

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu JCPOA; Iran haina haraka

    Mar 23, 2021 05:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Marekani inapaswa kufuta vikwazo vyote, kisha Iran ichunguze na kutathmini ukweli wa hatua hiyo, na endapo itathibiti kweli kwamba, vikwazo hivyo vimeondolewa, basi taifa hili litarejea bila tatizo lolote katika utekelezaji wa ahadi zake kwa mujibu wa makubaliano hayo.

  • Russia: Kujiondoa Marekani JCPOA kunaonesha haiwezi kutekeleza mapatano

    Russia: Kujiondoa Marekani JCPOA kunaonesha haiwezi kutekeleza mapatano

    Mar 22, 2021 06:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA kinaashiria namna Washington haiwezi kuheshimu wala kutekeleza mapatano na mikataba ya kimataifa inayoyafunga.

  • Borrell: Nitafanya kila niwezalo kuinusuru JCPOA

    Borrell: Nitafanya kila niwezalo kuinusuru JCPOA

    Mar 20, 2021 23:53

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema atafanya juu chini ili kuyalinda na kuyabakisha hai makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA.

  • Iran: Hatujapokea ujumbe wowote kutoka Marekani

    Iran: Hatujapokea ujumbe wowote kutoka Marekani

    Mar 20, 2021 04:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea ujumbe wowote kutoka kwa Marekani wala haina azma yoyote ya kuitumia Washington ujumbe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS