Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Qalibaf: Ni lazima Marekani iondoe vikwazo vyote dhidi ya Iran

    Qalibaf: Ni lazima Marekani iondoe vikwazo vyote dhidi ya Iran

    Mar 19, 2021 08:48

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: "Marekani inapaswa kuondoa vikwazo vyote ili Iran iweze kutekeleza ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA."

  • IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    Mar 17, 2021 03:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran ni 'magumu lakini yanatekelezeka' huku akizitaka pande husika za JCPOA kukumbatia muhula wa miezi mitatu ziliopewa na Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuyanusuru mapatano hayo.

  • Iran: Hatutofanya mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran: Hatutofanya mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 15, 2021 06:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haitofanya tena mazungumzo kuhusu mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la Mpango wa Pamoja wa Utekelezaji kwa kifupi JCPOA.

  • Iran: Hakuna mazungumo yanayohitajika kwa Marekani kurejea katika JCPOA

    Iran: Hakuna mazungumo yanayohitajika kwa Marekani kurejea katika JCPOA

    Mar 11, 2021 23:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema mpango wa Marekani wa kutaka kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hauhitaji mazungumzo yoyote kwani Washington haikufanya mazungumzo wala mashauriano na yeyote wakati wa kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa.

  • Iran: Ni sisi tu undio tuliotekeleza mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran: Ni sisi tu undio tuliotekeleza mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 10, 2021 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia jinsi nchi za Ulaya na Marekani zilivyoshindwa kutekeleza mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, ni Iran pekee ndiyo iliyotekeleza makubaliano hayo ya kimataifa.

  • 'Hayatafanyika mazungumzo yoyote bila Marekani kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran'

    'Hayatafanyika mazungumzo yoyote bila Marekani kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran'

    Mar 08, 2021 04:35

    Duru moja ya kuaminika ya kiusalama nchini imetangaza kuwa: hakuna mazungumzo yoyote na katika sura yoyote yatakayofanyika baina ya Iran na Marekani bila kuondolewa kwanza vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran.

  • Jibu la Zarif kwa Sherman; mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya JCPOA ni marufuku

    Jibu la Zarif kwa Sherman; mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya JCPOA ni marufuku

    Mar 06, 2021 22:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesema kuwa mapatano ya JCPOA hayawezi kujadiliwa upya. Muhammad Javad Zarif ameyasema hayo akijibu ombi la serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani la kutaka mazungumza mapya yafanyike kuhusu suala hilo.

  • Makundi 32 ya Marekani yamtaka Biden airejesha nchi hiyo katika JCPOA

    Makundi 32 ya Marekani yamtaka Biden airejesha nchi hiyo katika JCPOA

    Mar 04, 2021 23:03

    Makundi 32 ya Marekani yamemtaka Rais wa nchi hiyo Joe Biden airejesha Washington katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA haraka iwezekanavyo.

  • Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Mar 03, 2021 10:20

    Rais Hassan Rouhani amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasubiri kuona hatua za kivitendo kuhusiana na makubaliano ya nyuklia na akasisitiza kuwa makubaliano hayo ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno matupu.

  • Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo

    Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo

    Mar 03, 2021 04:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa azimio la kuikosoa Iran limepangwa kupigiwa kura siku zijazo katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS