Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Radiamali ya Ulaya kuhusiana na stratijia mpya ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Radiamali ya Ulaya kuhusiana na stratijia mpya ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    May 23, 2018 23:38

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa radiamali yake kupitia tovuti rasmi ya umoja huo kufuatia stratijia mpya iliyotangazwa na Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Iran, akitangaza kufungamana kikimilifu EU na makubaliano ya nyuklia ya Iran maaruku kwa jina la JCPOA.

  • Matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    May 21, 2018 23:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amekariri madai yaliyo dhidi ya Iran na kwa mara nyingine tena kuituhumu Tehran kuwa inasababisha ukosefu wa amani katika eneo.

  • Qassemi: Nchi za Ulaya zitoe dhamana kuwa maslahi ya Iran yatazingatiwa katika mapatano ya JCPOA

    Qassemi: Nchi za Ulaya zitoe dhamana kuwa maslahi ya Iran yatazingatiwa katika mapatano ya JCPOA

    May 21, 2018 08:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Katika muda mfupi uliosalia, nchi za Ulaya zinapaswa kutoa dhamana kuwa maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatalindwa baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA."

  • Iran haitafanya mazungumzo kuhusu maudhui yoyote isipokuwa Mapatano ya Nyuklia ya JCPOA

    Iran haitafanya mazungumzo kuhusu maudhui yoyote isipokuwa Mapatano ya Nyuklia ya JCPOA

    May 21, 2018 07:51

    Karibu wiki mbili baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekeelzwaji, JCPOA, kumefanyika mazungumzo mjini Brussels baina ya wakuu wa Iran na Umoja wa Ulaya.

  • Zarif: EU ichukue hatua za kivitendo katika kuendeleza ushirikiano na Iran

    Zarif: EU ichukue hatua za kivitendo katika kuendeleza ushirikiano na Iran

    May 20, 2018 22:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Umoja wa Ulaya unapaswa kuchukua hatua za kivitendo na kuongeza uwekezaji wake nchini Iran katika kuendeleza ushirikiano wa kibiashara na Tehran."

  • Velayati: Dhamana imara ichukuliwe kutoka nchi za Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia

    Velayati: Dhamana imara ichukuliwe kutoka nchi za Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia

    May 20, 2018 10:18

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: "Mtazamo wa Jamhuri ya Kiislamu ni kuwa, katika mazungumzo na nchi za Ulaya kunapaswa kupatikane dhamana imara ili mapatano ya nyuklia ya JCPOA yasivurugike."

  • Taarifa ya Troika ya Ulaya yaunga mkono kulindwa makubaliano ya JCPOA

    Taarifa ya Troika ya Ulaya yaunga mkono kulindwa makubaliano ya JCPOA

    May 17, 2018 09:59

    Wakuu wa Ufaransa, Ujerumani na Uingreza baada ya kufanya kikao chao cha pande tatu katika mji mkuu wa Bulgaria, Sophia kwa mara nyingine tena wametaka kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa hali zote.

  • Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    May 15, 2018 22:11

    Siku chache baada ya Rais Donald Trump kutangaza kuiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA, kwa mara nyingine tena marais wa Russia na Ufaransa wamesisitizia umuhimu wa pande zilizosalia kuendelea kufungamana na mapatano hayo ya kimataifa.

  • Zarif aanza safari ya kuzitembelea China, Russia na Brussels kuhusu JCPOA

    Zarif aanza safari ya kuzitembelea China, Russia na Brussels kuhusu JCPOA

    May 13, 2018 03:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumapili ameelekea mjini Beijing, katika safari ya kuzitembelea China, Russia na Ubelgiji; ziara yenye lengo la kutathmini utayarifu wa jamii ya kimataifa wa kuihakikishia Iran kuwa itasalia katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, licha ya Marekani kujiondoa kwenye mapatao hayo.

  • Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje US waacha kazi baada ya hatua ya Trump kujiondoa JCPOA

    Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje US waacha kazi baada ya hatua ya Trump kujiondoa JCPOA

    May 12, 2018 09:23

    Gazeti la Foreign Policy la nchini Marekani, limefichua wimbi la kuacha kazi kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, baada ya hatua ya Rais Donald Trump ya kuiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS