Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza

    Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza

    Aug 10, 2017 09:28

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa, kama Iran ikitaka kutoa jibu kwa ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA) basi jibu lake litakuwa ni la kushtukiza.

  • Iran: US ijiandae kwa matokeo mabaya ikikiuka JCPOA

    Iran: US ijiandae kwa matokeo mabaya ikikiuka JCPOA

    Aug 09, 2017 03:08

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitahadharisha Marekani na matokeo mabaya itakayoyapata iwapo itaamua kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna.

  • Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Aug 03, 2017 02:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kusaini sheria ya vikwazo vipya dhidi ya Tehran ni njama ya Washington ya kutaka kusambaratisha makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Iran: Yaishitaki Marekani kwa hatua yake ya kuiwekea vikwazo vipya Tehran

    Iran: Yaishitaki Marekani kwa hatua yake ya kuiwekea vikwazo vipya Tehran

    Aug 01, 2017 09:44

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran sambamba na kubainisha kwamba, ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA uliofanywa na Marekani uko wazi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislam ya Iran imewasilisha mashitaka kwenda kwa baraza na kamisheni inayosimamia makubaliano hayo, kutokana na hatua ya Washington ya kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.

  • Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Jul 30, 2017 03:26

    Mkuu wa timu ya Iran ya kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) amesema kuwa, hatua ya hivi karibuni ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Iran ni hatua ya kiuadui na chuki dhidi ya Tehran.

  • Kamisheni ya Bunge la Iran yapasisha mambo jumla ya kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Kamisheni ya Bunge la Iran yapasisha mambo jumla ya kukabiliana na chokochoko za Marekani

    Jul 29, 2017 08:59

    Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni katika Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepasisha katika kikao chache cha dharura hii leo, mambo jumla ya kukabiliana na hatua za kiuhasama na kiuadui za Marekani dhidi ya taifa hili.

  • New York Times: Trump anafanya njama za kuionyesha Iran kuwa ndio iliyokiuka JCPOA

    New York Times: Trump anafanya njama za kuionyesha Iran kuwa ndio iliyokiuka JCPOA

    Jul 28, 2017 21:52

    Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mhariri wa gazeti la The New York Times amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani, anafanya njama za kuionyesha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndiyo iliyokiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Boroujerdi: Marekani inapasa kuheshimu makubaliano ya kimataifa

    Boroujerdi: Marekani inapasa kuheshimu makubaliano ya kimataifa

    Jul 27, 2017 03:19

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Marekani inapasa kujifunza maadili ya kisiasa kuhusu makubaliano ya kimataifa na kuheshimu makubaliano hayo.

  • Russia: Makubaliano ya JCPOA yamefichua jinsi Marekani inavyokiuka sheria za kimataifa

    Russia: Makubaliano ya JCPOA yamefichua jinsi Marekani inavyokiuka sheria za kimataifa

    Jul 22, 2017 12:20

    Mkuu wa Kituo cha Stratijia za Kisiasa nchini Russia, Sergei Mikheev amesema kuwa, kitendo cha Marekani kukiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, kimeidhihirisha nchini hiyo kwamba ni mkiukaji mkubwa wa sheria na mikataba ya kimataifa duniani.

  • Russia yalaani hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran

    Russia yalaani hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran

    Jul 21, 2017 03:14

    Mkuu wa Idara ya Kuzuia na Kudhibiti Silaha iliyo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Mikhail Ulyanov amelaani hatua ya kiuhasama ya Marekani katika kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vipya na kusema kuwa, vikwazo hivyo havijazingatia sheria zozote zile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS