Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Marekani yakiri Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia

    Marekani yakiri Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia

    Jul 18, 2017 03:12

    Serikali ya Marekani imetangaza kuwa, Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia yaliyotiwa saini baina ya Tehran na kundi la 5+1 maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA.

  • Antonio Guterres aipongeza Iran kwa kufungamana kikamilifu na JCPOA

    Antonio Guterres aipongeza Iran kwa kufungamana kikamilifu na JCPOA

    Jul 15, 2017 08:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na kufungamana kwake kikamilifu na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Miaka miwili ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani yaendelea kuyakiuka

    Miaka miwili ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani yaendelea kuyakiuka

    Jul 15, 2017 01:43

    Sambamba na kutimu mwaka wa pili tangu Iran na nchi wanachama wa kundi la 5+1 zilipotia saini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza tena udharura wa Marekani kuheshimu na kutekeleza makubaliano hayo na kusema kuwa, JCPOA ni makubaliano ya kimataifa.

  • Iran: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayatafanyiwa mabadiliko yoyote

    Iran: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayatafanyiwa mabadiliko yoyote

    Jun 30, 2017 23:34

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA hayatofanyiwa marekebisho yoyote yale.

  • Mtazamo mzuri wa Baraza la Usalama kuhusu JCPOA licha ya uchochezi wa Marekani

    Mtazamo mzuri wa Baraza la Usalama kuhusu JCPOA licha ya uchochezi wa Marekani

    Jun 30, 2017 21:47

    Ripoti ya tatu ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran na nchi sita kuu za dunia katika Baraza la Usalama imewasilishwa katika kalibu ya azimio 2231 ambapo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imethibitishwa kutekeleza ahadi zake zote katika uwanja huo.

  • Mogherini: Marekani itafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Mogherini: Marekani itafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Jun 13, 2017 08:53

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amesema pamoja na kuwepo malalamiko ya serikali ya Marekani kwa mapatano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1, ana matumaini kuwa Washington itayatekeleza kwani ni ya kimataifa.

  • Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Jun 06, 2017 23:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran yanaweza kuendelea kusimama imara na kutekelezwa pasina na ushiriki wa Washington.

  • Mogherini: EU na Russia zina msimamo mmoja kuhusu JCPOA

    Mogherini: EU na Russia zina msimamo mmoja kuhusu JCPOA

    May 15, 2017 03:26

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema EU na Russia zina msimamo mmoja katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • EU yayataja makubaliano ya nyuklia ya Iran kama 'hatua kubwa'

    EU yayataja makubaliano ya nyuklia ya Iran kama 'hatua kubwa'

    May 10, 2017 03:08

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa wito wa kuungwa mkono na kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia ya Vienna sambamba na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wake.

  • Ulaya: Tutaendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia na Iran

    Ulaya: Tutaendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia na Iran

    Apr 30, 2017 23:42

    Kamishna wa Masuala ya Nishati wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, wanachama wa Umoja huo wataendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na kundi la 5+1 maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS