Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jela

  • Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Sep 13, 2018 03:27

    Mahakama moja ya utawala haramu wa Israel imemhukumu kifungo cha miaka 35 jela kijana mlemavu wa Kipalestina kwa madai ya kuwashambulia askari wawili wa utawala huo katili.

  • Msemaji wa shirika la UNRWA: Ghaza imekuwa jela kubwa

    Msemaji wa shirika la UNRWA: Ghaza imekuwa jela kubwa

    Jul 15, 2018 13:45

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) amesema kuwa eneo la Ukanda wa Ghaza limegeuka na kuwa jela kubwa isiyo na uthabiti na kwamba wakazi wa eneo hilo hawana cha kupoteza.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Jul 06, 2018 14:25

    Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.

  • Wafungwa Waislamu Marekani wanyimwa chakula, walazimishwa kula nyama ya nguruwe

    Wafungwa Waislamu Marekani wanyimwa chakula, walazimishwa kula nyama ya nguruwe

    May 24, 2018 14:38

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limewasilisha faili la kesi mahakamani kuwashtaki maafisa wa Idara ya Magereza ya Alaska, kwa kuwanyima chakula wafungwa Waislamu mbali na kuwalazimisha kula nyama ya nguruwe katika mwezi huu wa Ramadhani.

  • UN: Makundi ya wabeba silaha yanawatesa na kuwaua wafungwa katika jela za Libya

    UN: Makundi ya wabeba silaha yanawatesa na kuwaua wafungwa katika jela za Libya

    Apr 11, 2018 04:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • Wanachuo 340 wa Kipalestina wanashikiliwa katika magereza ya Israel

    Wanachuo 340 wa Kipalestina wanashikiliwa katika magereza ya Israel

    Mar 12, 2018 07:51

    Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Palestina ametangaza kuuwa, kwa sasa wanachuo 340 wa Kipalestina wanashikiliwa katika magereza mbalimbali ya utawala haramu wa Israel.

  • Israel imewateka nyara mamia ya watoto wa Kipalestina

    Israel imewateka nyara mamia ya watoto wa Kipalestina

    Mar 02, 2018 07:48

    Kituo cha Uchunguzi wa Mateka wa Kipalestina PPS kimetangaza kuwa, mamia ya watoto wa Kipalestina wanashikiliwa katika magereza ya utawala haramu wa Israel huku wakiadhibiwa na kuteswa vibaya.

  • Nabeel Rajab ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela nchini Bahrain

    Nabeel Rajab ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela nchini Bahrain

    Feb 22, 2018 04:29

    Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini Bahrain amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo.

  • Ethiopia yaendelea kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Ethiopia yaendelea kuwaachia huru mamia ya wafungwa wa kisiasa

    Feb 09, 2018 14:18

    Mwanasheria Mkuu wa Ethiopia ametoa agizo la kuachiwa huru mamia ya wafungwa wa kisiasa, akiwemo mmoja wa viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo.

  • Malenga wanne Saudia wafungwa miaka 30 jela kwa kumkosoa Bin Salman

    Malenga wanne Saudia wafungwa miaka 30 jela kwa kumkosoa Bin Salman

    Feb 03, 2018 08:11

    Mahakama ya Saudia imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela wakosoaji wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS