-
Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi
Sep 23, 2017 15:30Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.
-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC ataka kutiwa mbaroni kamanda wa Libya
Sep 14, 2017 07:54Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) amekariri wito wake wa kutiwa mbaroni haraka iwezekanavyo kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa kwa jinai za kivita. Kamanda huyo anatuhumiwa kuwaua watu wengi.
-
Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu
Sep 10, 2017 07:15Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
-
Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor
Sep 06, 2017 07:14Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor
Sep 05, 2017 14:02Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr
Sep 04, 2017 07:48Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.
-
Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu
Sep 03, 2017 07:34Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua makumi ya askari wa Somalia karibu na mji wa bandari wa Kismayu mapema leo Jumapili.
-
Jeshi la Lebanon lawekwa mpakani baada ya Madaesh kutimuliwa kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria
Aug 30, 2017 03:11Kufuatia kutimuliwa magaidi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linalopata uungaji mkono wa Marekani, Israel na Saudia katika mpaka wa pamoja wa Syria na Lebanon, Jumanne ya jana jeshi la Lebanon lilituma askari wake katika miinuko ya Al-Qalamoun walipokuwako magaidi hao wakufurishaji.
-
Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi
Aug 17, 2017 06:45Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara, kuhusu umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kiulinzi wa pande mbil
-
Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia
Aug 14, 2017 03:36Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.