Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Rouhani: Hakuna anayeweza kuthubutu kulidhuru jeshi la Iran

    Rouhani: Hakuna anayeweza kuthubutu kulidhuru jeshi la Iran

    Jul 31, 2017 04:29

    Rais Hassan Rouhani amesema mihimili mitatu ya serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaviunga mkono kwa dhati vikosi vya jeshi la Iran na kwa msingi huo hakuna anayeweza kulidhuru jeshi hilo wala Iran.

  • UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    Jul 26, 2017 07:45

    Umoja wa Mataifa umelituhumu kwa njia isiyo ya moja kwa moja jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa limehusika na mauaji ya umati katika eneo la Kasai.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jul 26, 2017 07:43

    Jeshi la Misri limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi, katika operesheni yake yenye lengo la kuwafuta kabisa magaidi wenye misimamo mikali ambao wanaendeleza harakati zao katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Jul 17, 2017 04:22

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa, eneo la kiistratejia la Kipese lililokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wanaobeba silaha limekombolewa la jeshi la nchi hiyo.

  • Hatimaye jeshi la Syria laingia mkoa wa Deir Ezzor baada ya miaka kadhaa

    Hatimaye jeshi la Syria laingia mkoa wa Deir Ezzor baada ya miaka kadhaa

    Jun 25, 2017 03:41

    Askari wa kikosi cha nchi kavu cha Syria wameweza kuingia mkoa wa Deir Ezzor, mashariki mwa nchi hiyo sambamba na kudhibiti maeneo yake tofauti.

  • Meli za Kivita za Iran kuelekea Bahari ya Hindi kulinda doria

    Meli za Kivita za Iran kuelekea Bahari ya Hindi kulinda doria

    May 28, 2017 13:44

    Msafara wa meli za kivita za Iran zinatazamiwa kuelekea katika Bahari ya Hindi mwezi ujao kulinda doria na kusindikiza meli za mafuta na za kibiashara za Iran.

  • Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 23, 2017 07:45

    Jeshi la Myanmar limekanusha ripoti ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa iliyosema kuwa viongozi wa serikali wanabeba dhima ya jinai zilizotendwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya.

  • Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    May 21, 2017 13:39

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeendelea kupata pigo kutoka kwa askari wa jeshi la Nigeria, ambapo wanachama 13 wa genge hilo wameuawa kwenye makabaliano mapya yaliyotokea jana katika eneo la Ziwa Chad.

  • Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Apr 20, 2017 14:05

    Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.

  • 17 wauawa katika mapigano kati ya magaidi na wanajeshi Mali

    17 wauawa katika mapigano kati ya magaidi na wanajeshi Mali

    Apr 20, 2017 02:27

    Askari wa Ufaransa wakishirikiana na wanajeshi wa Mali wamefanikiwa kuangamiza magaidi 12 kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS