-
Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib
Feb 27, 2020 21:47Taasisi inayoitwa 'Watetezi wa Haki za Binaadamu Syria' imetangaza kuwa jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani
Feb 13, 2020 23:10Gavana wa mkoa wa al Hasakah nchini Syria amezitaja hatua za mapambano zilizochukuliwa na raia wa vijiji kadhaa vya mkoa huo dhidi ya wanajeshi wa Marekani kuwa ni kuanza kwa mapambano ya wananchi ya kuwafukuza wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria.
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Syria Baharini
Jan 21, 2020 21:33Majeshi ya Russia na Syria yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bandari ya Tartus ya Syria katika pwani ya Bahari ya Mediterranea.
-
Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad
Jan 18, 2020 09:13Katika jitihada zake za kutimiza ahadi ya kulipiza kisasi kikali dhidi ya Marekani kutokana na mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wana jihadi wenzake, Alfajii ya Jumatano tarehe 8 Januari Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilishambulia kambi kubwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq ya Ainul Asad.
-
Muungano wa Marekani wahamisha makao yake makuu kutoka Iraq hadi Kuwait
Jan 07, 2020 23:21Muungano eti wa kupambana na kundi la Daesh unaoongozwa na Marekani umehamisha makao yake makuu kutoka Iraq na kuyapeleka Kuwait kufuatia mauaji ya Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Naibu Kamanda wa kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq, al Hashdul Shaabi Abu Mahdi al Muhandes, na sisitizo la Iran la kulipiza kisasi mauaji hayo ya kigaidi yaliyofanywa na Marekani.
-
Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video
Nov 17, 2019 07:53Msafara mwingine mmoja wa wanajeshi wa Marekani umeingia katika mji wa Qamishli mkoani al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran: Tumetungua ndege isiyo na rubani ya nchi ya kigeni
Nov 08, 2019 23:45Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran amesema kuwa jeshi hilo limetungua ndege isiyo na rubani ya nchi ya kigeni baada ya kuingia katika anga ya kusini mwa Iran katika eneo la Mahshahr.
-
Rais Bashar al Assad atembelea mstari wa mbele wa vita dhidi ya magaidi kusini mwa Idlib
Oct 22, 2019 08:25Rais Bashar al Assad wa Syria akiwa pamoja na makamanda wa jeshi la nchi hiyo, amefika katika mstari wa mbele wa vita dhidi ya makundi ya kigaidi katika mkoa wa Idlib.
-
Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii
Oct 22, 2019 08:16Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.
-
Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali
Oct 08, 2019 23:02Kamanda Mkuu wa Wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria ameelezea uwezekano wa kushirikiana na serikali ya Damascus kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya Uturuki dhidi ya maeneo ya mpakani kaskazini mwa Syria.