Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Rais Bashar al Assad atembelea mstari wa mbele wa vita dhidi ya magaidi kusini mwa Idlib

    Rais Bashar al Assad atembelea mstari wa mbele wa vita dhidi ya magaidi kusini mwa Idlib

    Oct 22, 2019 11:55

    Rais Bashar al Assad wa Syria akiwa pamoja na makamanda wa jeshi la nchi hiyo, amefika katika mstari wa mbele wa vita dhidi ya makundi ya kigaidi katika mkoa wa Idlib.

  • Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Oct 22, 2019 11:46

    Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.

  • Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali

    Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali

    Oct 09, 2019 02:32

    Kamanda Mkuu wa Wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria ameelezea uwezekano wa kushirikiana na serikali ya Damascus kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya Uturuki dhidi ya maeneo ya mpakani kaskazini mwa Syria.

  • Wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wanatumia maelfu ya shule kama makao ya kijeshi

    Wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wanatumia maelfu ya shule kama makao ya kijeshi

    Sep 27, 2019 02:39

    Wanamgambo wa Kikurdi kwa jina la Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria wanaoungwa mkono na Marekani hadi kufikia sasa wamefunga shule zaidi ya elfu mbili katika mkoa wa Hasaka. Aidha wamezigeuza baadhi ya shule hizo kuwa makao yao ya kijeshi.

  • Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo

    Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo

    Sep 19, 2019 07:03

    Jeshi la Kuwait limetoa taarifa na kueleza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hivyo vimeajiandaa kukabiliana na matukio na tishio lolote katika eneo.

  • Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini

    Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini

    Sep 01, 2019 11:25

    Brigedia Jenerali Alireza Sabahi Fard, Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbiya (SAW) cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akizingumza katika mkesha wa 'Siku ya Ulinzi wa Anga' ameashiria mafanikio ya Iran katika sekta ya ulinzi wa anga na kusema: "Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini."

  • Majeshi ya Iran yako tayari kukabiliana na maadui

    Majeshi ya Iran yako tayari kukabiliana na maadui

    Aug 28, 2019 08:03

    Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema majeshi yote ya Iran yako katika hali ya juu ya utayarifu wa kukabiliana na maadui.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Aug 23, 2019 02:31

    Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.

  • Mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran; Nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo

    Mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran; Nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo

    Aug 21, 2019 12:42

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) limetoa taarifa kuadhimisha Siku ya Sekta ya Ulinzi nchini Iran na kuyataja mafanikio katika sekta hiyo ya ulinzi hapa nchini kuwa ni nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo la Asia Magharibi.

  • Jeshi la Iran lazindua mfumo wa rada wa Falaq wa ulinzi wa anga

    Jeshi la Iran lazindua mfumo wa rada wa Falaq wa ulinzi wa anga

    Aug 10, 2019 15:29

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limezindua mfumo wa rada wa ulinzi wa anga uliopewa jina la Falaq katika hafla iliyohudhuriwa na Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS