Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH

  • Msemaji wa IRGC: Silaha mpya za Iran za kukabiliana na uchokozi wa adui Marekani na mzayuni ziko njiani

    Msemaji wa IRGC: Silaha mpya za Iran za kukabiliana na uchokozi wa adui Marekani na mzayuni ziko njiani

    Mar 06, 2026 09:06

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC ametangaza kuwa mbinu mpya na silaha mpya ziko njiani kuzinduliwa kwa ajili ya kukabiliana na uchokozi wa kijeshi ulioanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni.

  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 24, 2026 22:53

    Katika kujibu hatua haramu ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeyataja majeshi ya majini na anga ya nchi zote wanachama wa umoja huo kuwa mashirika ya kigaidi.

  • Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz

    Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz

    Feb 16, 2026 23:28

    Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, Iran inadumisha ufuatiliaji kamili wa kijasusi wa saa 24 katika Lango-Bahari la Hormuz.

  • Utendaji wa jeshi la IRGC kuanzia kupambana na Daesh hadi Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni

    Utendaji wa jeshi la IRGC kuanzia kupambana na Daesh hadi Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni

    Feb 01, 2026 01:03

    Jeshi la Walinzi wa Mapindzi ya Kiislamu (IRGC) katika miongo ya hivi karibuni limefanya vyema, hasa katika mapambano dhidi ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) na pia katika Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sera za uadui za Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; Brussels inataka nini?

    Sera za uadui za Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; Brussels inataka nini?

    Jan 31, 2026 05:27

    Umoja wa Ulaya umeendeleza msimamo wake wa kuingilia masuala ya ndani ya Iran kwa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Tehran kwa kisingizio cha masuala ya haki za binadamu.

  • IRGC: Iran haitaanzisha vita, lakini ndiyo itakayoamua vitakavyoisha

    IRGC: Iran haitaanzisha vita, lakini ndiyo itakayoamua vitakavyoisha

    Jan 29, 2026 03:49

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema Iran ndiyo inayoshikilia mpini na nafasi ya juu katika kuamua hatima ya vita vyovyote tarajiwa, likisisitiza kwamba kutumia mashinikizo ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hakujazaa matunda.

  • Brigedia Jenerali Vahidi: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za maadui

    Brigedia Jenerali Vahidi: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za maadui

    Jan 25, 2026 03:49

    Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi, amesema Iran itatoa jibu kali kwa uchokozi na uvamizi wowote wa maadui zake.

  • IRGC: Maadui watakabiliwa na mwelekeo mpya wa uwezo wa Iran iwapo wataanzisha vita

    IRGC: Maadui watakabiliwa na mwelekeo mpya wa uwezo wa Iran iwapo wataanzisha vita

    Dec 15, 2025 07:30

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC Ali-Mohammad Naeini amesema kwamba ikiwa vita vitazuka, adui atakabiliwa na viwango vipya na vya hali ya juu vya nguvu ya kijeshi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kikosi cha Wanamaji cha IRGC chakamata meli ya mafuta kusini mwa Makran kwa kukiuka taratibu

    Kikosi cha Wanamaji cha IRGC chakamata meli ya mafuta kusini mwa Makran kwa kukiuka taratibu

    Nov 15, 2025 23:01

    Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limekamata meli ya mafuta katika pwani ya kusini ya Makran baada ya kupokea amri ya mahakama.

  • Kikosi cha Wanamaji cha IRGC chakamata meli ya mafuta kusini mwa Makran kwa kukiuka taratibu

    Kikosi cha Wanamaji cha IRGC chakamata meli ya mafuta kusini mwa Makran kwa kukiuka taratibu

    Nov 15, 2025 09:35

    Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limekamata meli ya mafuta katika pwani ya kusini ya Makran baada ya kupokea amri ya mahakama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS