Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kamanda Soleimani

  • Kiongozi Muadhamu amuenzi Shahidi Soleimani, asema daima alifikiria kuhuisha Muqawama

    Kiongozi Muadhamu amuenzi Shahidi Soleimani, asema daima alifikiria kuhuisha Muqawama

    Jan 01, 2025 13:21

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesifu na kukutaja kuwa ni kwa kipekee kujitolea kwa kamanda mkuu wa Iran wa kupambana na ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, ambaye aliuawa mwaka 2020 akiwa pamoja na wanajihadi wenzake katika shambulio la kigaidi la ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad nchini Iraq.

  • Jenerali Salami: Hakuna shaka tutalipiza kisasi cha mauaji ya Shahidi Soleimani

    Jenerali Salami: Hakuna shaka tutalipiza kisasi cha mauaji ya Shahidi Soleimani

    Jan 09, 2023 04:10

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu alivunja na kusambaratisha njama za maadui wa taifa hili, na kwamba wahusika wa mauaji yake wanapaswa kufahamu kuwa lazima Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukua hatua kujibu kitendo cha kigaidi cha kumuua shahidi kamanda huyo.

  • Wananchi wa Iran wamkumbuka Jenerali Soleimani aliyeuawa kigaidi na Marekani

    Wananchi wa Iran wamkumbuka Jenerali Soleimani aliyeuawa kigaidi na Marekani

    Jan 03, 2023 15:21

    Wananchi kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wametoa heshima kwa shujaa wao Jenerali Haj Qassem Soleimani, kamanda maarufu duniani wa mapambano dhidi ya ugaidi ambaye aliuawa katika hujuma ya kigaidi ya Marekani mwaka 2020.

  • Baraza la Maulamaa la Nigeria: Mauaji ya Jenerali Soleimani ni jinai

    Baraza la Maulamaa la Nigeria: Mauaji ya Jenerali Soleimani ni jinai

    Jan 02, 2023 11:29

    Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Nigeria, limelaani vikali mauaji ya kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Luteni Jenerali Qassem Solaimani na kusema mauaji hayo yaliyotekelezwa na Marekani ni jinai.

  • Russia: Kuna wajibu kwa jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai za Marekani

    Russia: Kuna wajibu kwa jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai za Marekani

    Nov 03, 2022 06:57

    Naibu wa Mkuu wa Timu ya Russia katika Kamati ya Kwanza ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema, Marekani lazima ibebe lawama za jinai zake duniani na ameitaka jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai hizo za Washington.

  • Associated Press: Marekani inatumia dola milioni mbili kwa mwezi kuwalinda wapangaji wa mauaji ya Qassem Soleimani

    Associated Press: Marekani inatumia dola milioni mbili kwa mwezi kuwalinda wapangaji wa mauaji ya Qassem Soleimani

    Mar 14, 2022 02:57

    Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, dola milioni 2 hutumika kwa mwezi kutoka kwenye mifuko ya walipakodi nchini Marekani kuwalinda wanasiasa wawili wa Republican wenye msimamo mkali wa utawala wa Donald Trump na wahusika wa mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani.

  • Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Jan 11, 2022 14:16

    Msemaji wa Jeshi la Iran ameitaja Marekani kuwa nchi inayoongoza kwa kufadhili ugaidi duniani na kusema Washington ndiyo chanzo cha ukosefu wa usalama kote duniani.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Jan 05, 2022 07:45

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wauaji wa Luteni Jenerali Qasem Soleimani walidhani kuwa wameshinda kwa kumuua, lakini hawakujua kwamba hawatakuwa salama.

  • Nasrullah: Kupuuza uwepo wa US nchini Iraq, ni sawa na kumuua tena shahidi Soleimani

    Nasrullah: Kupuuza uwepo wa US nchini Iraq, ni sawa na kumuua tena shahidi Soleimani

    Jan 04, 2022 07:56

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kongamano la kumuenzi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Mohandes lafanyika Tunisia

    Kongamano la kumuenzi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Mohandes lafanyika Tunisia

    Dec 30, 2021 08:17

    Kundi la vyama vya siasa na asasi za kiraia nchini Tunisia zimefanya kongamano kwa mnasaba wa mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha Hashd al Sha'abi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS