Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • 13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    Jul 18, 2021 09:47

    Watu 13 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati lori la mafuta lilipoanguka na kuripuka, magharibi mwa Kenya.

  • Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Jun 16, 2021 07:54

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetuma askari wake wa Kikosi cha Radiamali ya Haraka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwenda kusaidia jitihada za kupambana na magenge ya kigaidi na makundi yanayobeba silaha.

  • Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Jun 13, 2021 22:02

    Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa serikali yake itatuma vikosi maalumu vya wanajeshi nchini Kenya, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Balozi: Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika uga wa TEHAMA

    Balozi: Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika uga wa TEHAMA

    Jun 13, 2021 21:55

    Balozi wa Iran nchini Kenya amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuzipa uzoefu wake kampuni za kitaalamu za Kenya, na kuunda jukwaa la kubadilishana mawazo juu ya masuala ya teknolojia.

  • Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Jun 11, 2021 08:09

    Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.

  • Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Jun 06, 2021 03:25

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umeahidi kuchunguza madai yanayosema kwamba, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limewaua raia katika eneo la Gedo nchini Somalia katika shambulizi la anga dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab.

  • Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Jun 05, 2021 21:57

    Serikali ya Somalia kwa mara nyingine tena imekosoa vikali kile ilichodai kuwa ni tabia ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuua raia wa Kisomali katika mashambulizi yake ya anga katika eneo la Gedo, jimbo la Jubaland kusini mwa Somalia.

  • Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Jun 01, 2021 03:48

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mwenzake wa Burundi, Evariste Ndayishimiye wamesaini mapatano ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa Nairobi na Bujumbura katika nyuga mbalimbali.

  • Safaricom ya Kenya yapata leseni ya kuendesha shughuli nchini Ethiopia

    Safaricom ya Kenya yapata leseni ya kuendesha shughuli nchini Ethiopia

    May 22, 2021 12:22

    Halmashauri ya Mawasiliano ya Ethiopia imelipatia shirika la Safaricom la Kenya leseni ya kutoa huduma za simu za mkononi nchini humo, hii ikiwa ni mara ya kwanza shirika lisilo la kiserikali kupewa leseni kama hiyo nchini Ethiopia.

  • Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    May 14, 2021 07:16

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba, mageuzi ya kikatiba yanayopigiwa debe na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi mkuu wa upinzani, Raila Odinga ni kinyume na sheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS