Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Wananchi wa Kenya waandamana kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo

    Wananchi wa Kenya waandamana kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo

    Jun 09, 2020 03:36

    Wananchi wa Kenya wamefanya maandamano katika mji mkuu Nairobi, kulaani ukandamizaji na ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia.

  • Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Jun 02, 2020 23:26

    Miji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.

  • SAUTI, Raia wa Kenya wakasirishwa na tabia ya Shirika la Umeme la nchi hiyo (Kenya Power) kukatakata huduma hiyo

    SAUTI, Raia wa Kenya wakasirishwa na tabia ya Shirika la Umeme la nchi hiyo (Kenya Power) kukatakata huduma hiyo

    May 09, 2020 10:26

    Shirika la Kusambaza Umeme nchini Kenya (Kenya Power), limetuhumiwa kwa kufanya uzembe mkubwa katika utoaji huduma za umeme kwa raia wa nchi hiyo huku wananchi wengi wakiitaka serikali kutoa vibali kwa makampuni mengine kuanza kuusambaza umeme ili kuleta ushindani wa kibiashara.

  • Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    May 09, 2020 08:05

    Askari wa jeshi la Ethiopia wamekiri kuwa walitungua kimakosa ndege ndogo ya Kenya iliyokuwa imebeba misaada na vifaa vya kupambana na janga la corona katika mji wa Bardale, kusini mwa eneo la Bay nchini Somalia.

  • Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    May 08, 2020 03:48

    Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.

  • Sauti, Wamiliki wa magari ya kusafirishia mizigo nchini Kenya watishia kuyaweka kando kwa kudai kuwa wananyanyaswa na serikali

    Sauti, Wamiliki wa magari ya kusafirishia mizigo nchini Kenya watishia kuyaweka kando kwa kudai kuwa wananyanyaswa na serikali

    May 07, 2020 12:03

    Wamiliki na wahudumu katika sekta ya magari ya kusafirishia mizigo (malori) kwa masafa marefu wametishia kuyasusa barabarani magari hayo hadi pale serikali za Kenya na Uganda zitakapolegeza masharti ziliyoyaweka.

  • Hatimaye serikali ya Kenya yapambana na corona kwa kufunga kikamilifu maeneo ya Nairobi na Mombasa + Sauti

    Hatimaye serikali ya Kenya yapambana na corona kwa kufunga kikamilifu maeneo ya Nairobi na Mombasa + Sauti

    May 06, 2020 11:37

    Hatimaye serikali ya Kenya imeamua kuchukua uamuzi mgumu wa kuifungia kikamilifu baadhi ya mitaa ya Nairobi na Mombasa kwa muda wa siku 15 kutokana na ukaidi wa baadhi ya watu wasioheshimu maagizo ya maafisa wa afya.

  • Rais Kenyatta awasihi Wakenya wachukulie kwa uzito janga la corona

    Rais Kenyatta awasihi Wakenya wachukulie kwa uzito janga la corona

    Apr 22, 2020 02:44

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hatua ya Wakenya kutoupa uzito unaotakiwa ugonjwa wa COVID-19 au corona ndio changamoto kubwa zaidi ya serikali yake katika kukabiliana na ugonjwa huo hatari.

  • Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Apr 21, 2020 03:37

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Kenya.

  • Corona yamburuzisha mahakamani Naibu Gavana Kenya, mbunge Tanzania ataka waziri wa SMZ achukuliwe hatua

    Corona yamburuzisha mahakamani Naibu Gavana Kenya, mbunge Tanzania ataka waziri wa SMZ achukuliwe hatua

    Apr 07, 2020 10:29

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema ni yeye aliyeamuru Naibu Gavana wa Kaunti ya Kilifi Gideon Saburi akamatwe kwa kile alichosema, uzembe aliofanya wa kukwepa karantini baada ya kurudi safarini kutoka nchini Ujerumani, hali ambayo iliweka hatarini maisha ya Wakenya dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS