-
Mitandao ya kijamii yalaumiwa kwa kuporomoka maadili Kenya + Sauti
Jun 03, 2018 01:11Visa vya watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 kunyanyaswa kijinsia nchini Kenya vimekithiri na kuipa changamoto Serikali kuushinikiza mhimili wa mahakama kuwaadhibu ipasavyo wahalifu wa uovu huo.
-
'Udugu' na 'Vita dhidi ya Ufisadi' vyatawala maadhimisho ya Siku ya Madaraka Kenya
Jun 01, 2018 11:19Wakenya wameadhimisha Siku ya Madaraka huku kaulimbiu ya mwaka huu ikiwa mbele pamoja.
-
Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini
May 31, 2018 10:18Mamia ya wananchi wa Kenya wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Nairobi, kulalamikia kiwango kikubwa cha ufisadi wa fedha nchini humo.
-
Maafisa 40 wa NYS nchini Kenya wakamatwa katika sakata la ufisadi
May 28, 2018 10:52Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza azma madhubuti ya serikali yake ya kupambana na ufisadi.
-
Somalia yakadhibisha madai ya Kenya ya kuwa tayari kufanya mazungumzo kuhusu mzozo wa mipaka
May 22, 2018 04:59Wizara ya Mambo ya Nje ya Somalia imekanusha madai yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya kuwa iko tayari kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na nchi hiyo kuhusiana na mgogoro wa mipaka yao ya pamoja ya baharini.
-
Miguna: Muungano wa upinzani Kenya NASA umekufa, aitangaza NRM kuwa chama kipya cha upinzani
May 17, 2018 00:16Mwanasheria wa upinzani nchini Kenya Miguna Miguna na ambaye pia amejitangaza kuwa kinara wa vuguvugu la National Resistance Movement (NRM) nchini Kenya amesema kuwa, Muungano wa Upinzani wa nchi hiyo NASA umekufa na ODM sio chama cha upinzani tena baada ya chama hicho kuanza kushirikiana na chama tawala cha Jubilee.
-
Rais Kenyatta asaini sheria kali kwa wahalifu mitandaoni
May 16, 2018 09:29Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameidhinisha Sheria za Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni wa 2018 ambazo zinatoa adhabu kali sana kwa watakaopatikana na makosa ya mtandaoni ikiwa ni pamoja na kueneza habari bandia au feki.
-
Walioaga dunia baada ya bwawa kuvunja kingo zake nchini Kenya wapindukia 40
May 10, 2018 10:16Watu zaidi ya 40 wamepoteza maisha baada ya bwala la umeme la shirika moja la kibinafsi kuvunja kingo zake katika eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya.
-
Kenya yazionya nchi za Kiarabu ziache kushadidisha mgogoro wa Somalia
May 08, 2018 03:27Serikali ya Kenya imezionya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, hasa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuacha kuchochea mgogoro wa Somalia na kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
Kenya yajiunga na Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu ya Asia AIIB
May 04, 2018 23:34Kenya imejiunga na na Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu ya Asia AIIB ikiwa ni katika jitihada za nchi hiyo kutafuta fursa mpya za kuijiimarisha kiuchumi.