Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi baada ya wanawake kuvamiwa mkutanoni

    Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi baada ya wanawake kuvamiwa mkutanoni

    Sep 13, 2017 10:29

    Polisi nchini Kenya katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo leo wamenyunyiza angani gesi ya kutoa macho na kufyatua risasi ili kuwatawanya vijana wa kiume waliovamia hoteli moja na kuanza kuwapiga wanawake waliokuwa wakihudhuria mkutano wa uchaguzi mjini humo.

  • Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba

    Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba

    Sep 13, 2017 03:20

    Kenya na Tanzania zitafanya mazungumzo mwezi Novemba ili kuimarisha biashara kati ya pande hizo mbili.

  • Jeshi la Somalia lakomboa eneo la mpakani kutoka kwa al Shabab

    Jeshi la Somalia lakomboa eneo la mpakani kutoka kwa al Shabab

    Sep 12, 2017 22:02

    Jeshi al Somalia limefanikiwa kukomboa eneo la mpaka wa nchi hiyo na Kenya lililokuwa limetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab.

  • Upinzani Kenya: Maafisa wa uchaguzi wametishiwa maisha

    Upinzani Kenya: Maafisa wa uchaguzi wametishiwa maisha

    Sep 08, 2017 12:31

    Kiongozi wa Muungano wa upinzani Kenya (NASA) Raila Odinga amesema leo kuwa maisha ya baadhi ya maafisa wa ngazi ya juu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo yanakabiliwa na tishio kubwa kutoka serikalini kabla ya kufanyika uchaguzi mpya wa rais mwezi ujao.

  • Al Shabaab wawaua kwa kuwakata vichwa Wakenya wanne katika Kaunti ya Lamu

    Al Shabaab wawaua kwa kuwakata vichwa Wakenya wanne katika Kaunti ya Lamu

    Sep 06, 2017 11:53

    Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Al Shabaab la Somalia wamewaua kwa kuwakata vichwa wanaume wanne raia wa Kenya katika mashambulio mawili tofauti waliyofanya katika Kaunti ya Lamu kwenye pwani ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Sep 05, 2017 09:29

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.

  • AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais

    AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais

    Sep 04, 2017 22:07

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika AU amekaribisha uamuzi wa mahakama ya juu nchini Kenya wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Kiongozi wa upinzani Kenya: Hatutagawana madaraka

    Kiongozi wa upinzani Kenya: Hatutagawana madaraka

    Sep 03, 2017 09:30

    Raila Odinga kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya (NASA) amesema leo kuwa muungano wake hautachangia madaraka, ikiwa zimepita siku mbili baada ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kutengua uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita na kuagiza kufanyika mwingine katika muda wa siku 60.

  • Rais wa Kenya ashambulia Mahakama, aapa 'kuziangalia upya' baada ya uchaguzi wa marudio

    Rais wa Kenya ashambulia Mahakama, aapa 'kuziangalia upya' baada ya uchaguzi wa marudio

    Sep 02, 2017 10:46

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema nchi hiyo ina kile alichokitaja kama "tatizo" na vyombo vyake vya Mahakama ambalo ni lazima lirekebishwe.

  • Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia

    Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia

    Sep 02, 2017 05:24

    Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS