-
Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi baada ya wanawake kuvamiwa mkutanoni
Sep 13, 2017 10:29Polisi nchini Kenya katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo leo wamenyunyiza angani gesi ya kutoa macho na kufyatua risasi ili kuwatawanya vijana wa kiume waliovamia hoteli moja na kuanza kuwapiga wanawake waliokuwa wakihudhuria mkutano wa uchaguzi mjini humo.
-
Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba
Sep 13, 2017 03:20Kenya na Tanzania zitafanya mazungumzo mwezi Novemba ili kuimarisha biashara kati ya pande hizo mbili.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo la mpakani kutoka kwa al Shabab
Sep 12, 2017 22:02Jeshi al Somalia limefanikiwa kukomboa eneo la mpaka wa nchi hiyo na Kenya lililokuwa limetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab.
-
Upinzani Kenya: Maafisa wa uchaguzi wametishiwa maisha
Sep 08, 2017 12:31Kiongozi wa Muungano wa upinzani Kenya (NASA) Raila Odinga amesema leo kuwa maisha ya baadhi ya maafisa wa ngazi ya juu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo yanakabiliwa na tishio kubwa kutoka serikalini kabla ya kufanyika uchaguzi mpya wa rais mwezi ujao.
-
Al Shabaab wawaua kwa kuwakata vichwa Wakenya wanne katika Kaunti ya Lamu
Sep 06, 2017 11:53Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Al Shabaab la Somalia wamewaua kwa kuwakata vichwa wanaume wanne raia wa Kenya katika mashambulio mawili tofauti waliyofanya katika Kaunti ya Lamu kwenye pwani ya kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti
Sep 05, 2017 09:29Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.
-
AU yapongeza uamuzi wa mahakama ya juu Kenya kubatilisha uchaguzi wa rais
Sep 04, 2017 22:07Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika AU amekaribisha uamuzi wa mahakama ya juu nchini Kenya wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Kiongozi wa upinzani Kenya: Hatutagawana madaraka
Sep 03, 2017 09:30Raila Odinga kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya (NASA) amesema leo kuwa muungano wake hautachangia madaraka, ikiwa zimepita siku mbili baada ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kutengua uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita na kuagiza kufanyika mwingine katika muda wa siku 60.
-
Rais wa Kenya ashambulia Mahakama, aapa 'kuziangalia upya' baada ya uchaguzi wa marudio
Sep 02, 2017 10:46Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema nchi hiyo ina kile alichokitaja kama "tatizo" na vyombo vyake vya Mahakama ambalo ni lazima lirekebishwe.
-
Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Kenya na ishara za kukomaa demokrasia
Sep 02, 2017 05:24Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.