-
Ulimaji viazi ulivyobadili sekta ya kilimo nchini Lesotho
Sep 02, 2025 07:40Ulimaji viazi nchini Lesotho kusini mwa bara la Afrika unapewa kipaumbele na umekuwa ishara kuu ya mabadiliko katika sekta ya kilimo ya nchi hiyo baada ya kuonekana kama chakula kikuu cha familia.
-
Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe
Feb 11, 2025 03:22Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaweza akafikiria kusitisha msaada kwa Jordan na Misri ikiwa zitakataa kuwapokea Wapalestina, baada ya kutekeleza mpango wake wa kuwahamaisha kwa nguvu wananchi hao katika ardhi yao ya Ukanda wa Ghaza ili kulihodhi na kulimiliki eneo hilo lililowekewa mzingiro.
-
Ubunifu wa miche ya migomba waleta matumaini kwa wakulima wa ndizi Tanzania
Jul 12, 2024 03:07Wiki iliyopita, banda la Chuo Kikuu cha Mzumbe katika Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya jijini Dar es Salaam lilikuwa na msongamano wa watu.
-
Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo
Apr 29, 2024 23:19Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.
-
Mamilioni ya hekta za ardhi ya kilimo Marekani zachafuliwa na mada za sumu
May 08, 2023 21:53Watafiti wa Kimarekani wametahadharisha kuhusu uchafuzi wa mamilioni ya hekta za ardhi ya kilimo zilizoharibiwa na mada za sumu nchini humo.
-
Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika
Jan 28, 2023 08:19Washirika wa maendeleo wa Afrika wameahidi kutoa dola bilioni 30 kwa maendeleo ya kilimo na uhuru wa chakula kwa bara hilo katika miaka mitano ijayo.
-
Nusu ya watu bilioni moja wa nchi za eneo ni wateja wa mazao ya kilimo ya Iran
Jan 01, 2023 08:54Mkuu wa Kamisheni ya Kilimo, Maji, Maliasili na Mazingira katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa zaidi ya watu milioni 500 katika nchi za kanda hii na jirani zake wanataka kunufaika na bidhaa za kilimo za Iran.
-
Mafuta ya Iran yafufua sekta ya kilimo nchini Lebanon
Sep 24, 2021 23:04Mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanayoendelea kutumwa nchini Lebanon yamefanikiwa kufufua sekta ya kilimo katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo na shughuli za kilimo za wakazi wa maeneo hayo zimeanza kunawiri tena.
-
Watoto milioni 108 duniani wanashiriki kazi zinazohatarisha afya na usalama wao
Jun 12, 2018 22:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani limesema baaada ya miaka mingi ya kupungua, sasa ajira ya watoto katika kilimo imeanza kuongezeka tena ikichochewa na migogoro na majanga yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
-
Iran na Ghana zasisitiza kupanua ushirikiano wao katika sekta ya kilimo
Nov 15, 2017 00:23Waziri wa Jihadi ya Kilimo wa Iran na Makamu wa Rais wa Ghana wamesisitizia udharura wa kufanyika kikao cha kamisheni ya pamoja ya uchumi na kupanuliwa ushirikiano katika sekta ya kilimo kati ya nchi mbili.