Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufutwa vikwazo

  • Kumalizika muda wa Azimio 2231 la Baraza la Usalama; Iran yasisitiza kuondolewa vikwazo, yaungwa mkono na nchi 121

    Kumalizika muda wa Azimio 2231 la Baraza la Usalama; Iran yasisitiza kuondolewa vikwazo, yaungwa mkono na nchi 121

    Oct 18, 2025 12:41

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ikitangaza kumalizika muda wa Azimio nambari 2231.

  • Spika Qalibaf: Snapback ni batili, Iran itajibu mapigo

    Spika Qalibaf: Snapback ni batili, Iran itajibu mapigo

    Sep 28, 2025 11:45

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf amepinga uamilishaji wa utaratibu wa snapback wa kurejeshewa Iran vikwazo, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume cha sheria; huku akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wajibu wa kuheshimu uamuzi huo ulioshinikizwa na Troika ya Ulaya.

  • "Vikwazo vya Marekani, Ulaya vimeua watu milioni 38 tangu 1970"

    Sep 04, 2025 07:42

    Tahariri iliyoandikwa na tovuti ya habari ya kanali ya televisheni ya al-Jazeera ya Qatar imekosoa muenendo wa nchi za Magharibi kutumia vikwazo kuziadhabu nchi zinazozitazama kama maadui; ikieleza kuwa, vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya vimeua watu zaidi ya milioni 38 kote duniani tangu 1970.

  • ICC: Vikwazo vya US ni hujuma dhidi ya mamilioni ya wahanga wa jinai

    ICC: Vikwazo vya US ni hujuma dhidi ya mamilioni ya wahanga wa jinai

    Aug 21, 2025 05:43

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetumia maneno makali kuilaani Marekani, kwa hatua yake ya hivi karibuni ya kuwawekea vikwazo majaji wa mahakama hiyo, kutokana na juhudi zao za kuwafungulia mashitaka maafisa Marekani na Israel wanaotuhumiwa kuhusika na uhalifu wa kivita na aina nyingine za ukatili.

  • "Iwapo maadui wangeliamini Iran inaweza kushindwa, wasingejadiliana"

    May 23, 2025 03:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, jukumu la msingi la wizara hiyo ni kujitahidi kuondosha vikwazo na kuongeza kuwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayesimamia Diplomasia ya Kiuchumi na balozi za Iran nje ya nchi zinapaswa kuwezesha mchakato huo na kuondolewa vikwazo vyote dhidi ya taifa hili.

  • Russia: Hatukimbizani na yeyote ili kupata ahueni ya vikwazo

    Russia: Hatukimbizani na yeyote ili kupata ahueni ya vikwazo

    Apr 15, 2025 07:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema katika hali ambayo biashara kati ya nchi hiyo na Marekani imeshuhudia mdororo mkubwa kutokana na "vikwazo haramu vya Washington," lakini Moscow "haikimbizani na mtu yeyote" kwa ajili ya kuondolewa vizuizi hivyo.

  • Iran: Vikwazo vipya vimefichua unafiki wa Washington

    Iran: Vikwazo vipya vimefichua unafiki wa Washington

    Mar 15, 2025 07:12

    Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu, Mohsen Paknejad na baadhi ya taasisi na meli zinazohusika na mauzo ya nje ya mafuta ya nchi hii na kusisitiza kuwa, vikwazo hivyo ni ithibati ya "ukiukaji wa sheria na unafiki" wa Washington.

  • Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Feb 07, 2025 07:56

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema nguvu za Iran na historia yake pana inaifanya isiweze kutetereshwa na mashinikizo ya nje.

  • Iran: Tuko tayari kuanzisha upya mazungumzo ya kuondoa vikwazo

    Iran: Tuko tayari kuanzisha upya mazungumzo ya kuondoa vikwazo

    Jan 22, 2025 02:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisheria, Kazem Gharibabadi amesema kuna misingi na fursa zinazofaa za kuanzisha tena mazungumzo na pande nyingine.

  • Iran yamwita balozi wa Hungary kulalamikia vikwazo vipya vya EU

    Iran yamwita balozi wa Hungary kulalamikia vikwazo vipya vya EU

    Oct 16, 2024 07:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Hungary mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko makali ya Jamhuri ya Kiislamu kwa vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia na taasisi kadhaa za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS