Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kujiua

  •  Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Aug 13, 2019 12:00

    Mawaziri kadhaa wa Ufaransa wametaka kuanza uchunguzi nchini humo kuhusu bilionea wa Kimarekani ambaye ametajwa kuwa alikuwa akijihusisha na magendo ya kuwauza wasichana na mabinti kwa ajili ya biashara ya ngono; bilionea ambaye alikuwa akimfadhili kifedha Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Marekani yaanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha bilionea Epstein akiwa jela

    Marekani yaanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha bilionea Epstein akiwa jela

    Aug 13, 2019 03:29

    Mwanasheria Mkuu wa Marekani amesema kuwa umeanzishwa uchunguzi kuhusu kifo cha kutatanisha cha bilionea aliyekuwa mfadhili na rafiki mkubwa wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo akiwa ndani ya jela ya nchi hiyo.

  • Kkiwango cha watoto na vijana wanaojiua nchini Marekani kimeongezeka

    Kkiwango cha watoto na vijana wanaojiua nchini Marekani kimeongezeka

    Jun 24, 2018 14:44

    Tovuti ya Intaneti ya New York Post imekutaja kuongezeka kiwango cha vitendo vya kujiua vijana na watoto wadogo nchini Marekani kuwa ni habari ya kuogofya kwa akina mama na akina baba.

  • Ripoti: Kila saa moja mwanafunzi mmoja hujiua nchini India, serikali yashtushwa

    Ripoti: Kila saa moja mwanafunzi mmoja hujiua nchini India, serikali yashtushwa

    Jan 09, 2018 08:01

    Takwimu iliyotolewa na serikali ya India ni ya kushtua baada ya kuonyesha kwamba, ndani ya kila saa moja mwanafunzi mmoja hujiua nchini humo.

  • Kuongezeka pakubwa vitendo vya kujiua miongoni mwa wanajeshi wa Kizayuni

    Kuongezeka pakubwa vitendo vya kujiua miongoni mwa wanajeshi wa Kizayuni

    Jan 03, 2018 07:53

    Idadi ya wanajeshi wa Israel wanaojiua inazidi kuongezeka pakubwa kutokana na kulazimishwa kujiunga jeshini na kushindwa mtawalia utawala wa Kizayuni mbele ya muqawama wa Wapalestina.

  • Ongezeko kubwa la kujiua wanachuo lawatia wasiwasi viongozi wa Uingereza

    Ongezeko kubwa la kujiua wanachuo lawatia wasiwasi viongozi wa Uingereza

    Sep 02, 2017 14:49

    Taasisi moja ya nchini Uingereza imetangaza habari ya kuongezeka kupindukia kesi za kujiua na matatizo ya kiakili na kisaikolojia kati ya wanafunzi vya vyuo katika miaka ya hivi karibuni nchini humo.

  • Mke wa mufti wa Daesh Tal Afar ajiua na watoto wake watatu

    Mke wa mufti wa Daesh Tal Afar ajiua na watoto wake watatu

    Jul 31, 2017 15:36

    Duru za kuaminika nchini Iraq zimeripoti kuwa, mke wa mufti wa kundi la Daesh amejiua yeye na watoto wake watatu katika mji wa Tel Afar huko kaskazini mwa Iraq.

  • Afisa wa ngazi ya juu jeshini wa Israel ajiua, ongezeko la matatizo ya kisaikolojia latajwa

    Afisa wa ngazi ya juu jeshini wa Israel ajiua, ongezeko la matatizo ya kisaikolojia latajwa

    May 02, 2017 04:26

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imetangaza habari ya kuokotwa mwili wa afisa wa ngazi ya juu jeshini aliyejiua, huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Kiongozi wa Serikali ajiua kwa kusailiwa nchini Misri

    Kiongozi wa Serikali ajiua kwa kusailiwa nchini Misri

    Jan 03, 2017 02:31

    Duru za habari za Misri zimetangaza habari ya kujiua Katibu Mkuu Mstaafu wa Baraza la Serikali ya nchi hiyo baada ya kutiwa mbaroni na maafisa wa Serikali.

  • Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Apr 06, 2016 07:43

    Takaribani askari 500 wa Jeshi la Marekani walijiua mwaka jana na hivyo kuendeleza mkondo wa idadi kubwa ya wanajeshi wanaojiua nchini humo katika kipindi cha miaka saba iliyopita.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS