-
Rais Rouhani asisitiza irada imara kukabiliana na ugaidi
Apr 11, 2016 00:16Rais Hassan Rouhani wa Iran kwa mara nyingine tena ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za pamoja kukabiliana na makundi ya kigaidi.
-
Mitazamo ya Zarif kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati
Apr 09, 2016 22:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameliambia shirika la habari la Russia la Tass News Agency kwamba misimamo mikali na ugaidi vinatishia maeneo ya Mashariki ya Kati, Asia ya Kati na Kaukasia.
-
Guinea Conakry yaimarisha usalama tayari kukabiliana na shambulio lolote la kigaidi
Apr 09, 2016 03:44Serikali ya Guinea Conakry imechukua hatua za kuimarisha usalama nchini humo kwa shabaha ya kujiweka tayari kukabiliana na shambulio lolote lile la kigaidi.
-
Ushirikiano zaidi wa Ufaransa na Afrika katika kupambana na ugaidi
Apr 05, 2016 23:45Rais Francois Hollande wa Ufaransa amesisitiza kuwa, Ufaransa na Afrika zinapaswa kuwa na ushirikiano na uratibu zaidi katika kupambana na ugaidi.
-
Mufti wa Misri asisitiza kuweko ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Mar 23, 2016 10:29Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuweko udharura wa ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Tunisia: Wananchi changieni sehemu ya mshahara kukabili ugaidi
Mar 13, 2016 13:06Waziri Mkuu wa Tunisia amewataka wafanyakazi wa umma na wananchi wote kwa jumla kuchangia sehemu ya mishahara yao kwenda kwenye hazina maalumu ya kupambana na harakati za ugaidi nchini humo.
-
Magaidi wakamatwa na silaha za Israel nchini Syria
Mar 11, 2016 23:03Vyombo vya usalama vya nchini Syria vimetangaza kuwa vimekamata magaidi kadhaa waliokuwa na silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo.
-
Nchi za Afrika Magharibi kuunda kikosi cha kukabiliana na ugaidi
Mar 05, 2016 23:10Mawaziri wa ulinzi wa eneo la Sahel huko magharibi mwa Afrika wameazimia kuunda kikosi cha jeshi cha pamoja cha radiamali ya haraka ili kukabiliana na ongozeko la hatari ya makundi ya kigaidi ya al Qaeda na Daesh katika eneo hilo.
-
Houthi: Saudia wanashirikiana na al-Qaeda Yemen
Feb 23, 2016 04:26Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa Saudi Arabia na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda zinashirikiana katika mashambulizi yao ya kutisha nchini Yemen.
-
Syria yatuma barua kwa Umoja wa Mataifa ikilaani mashambulizi ya Uturuki
Feb 14, 2016 10:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kulaani mahambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.