Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Hujuma za magaidi zaongezeka kwa 300% Afrika licha ya operesheni za US

    Hujuma za magaidi zaongezeka kwa 300% Afrika licha ya operesheni za US

    Oct 24, 2022 04:02

    Ripoti mpya ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha kuwa, mashambulizi ya magenge ya wanamgambo yameongezeka kwa asilimia 300 katika nchi za Afrika katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.

  • Makumi ya magaidi wa ISIS wauawa katika operesheni ya jeshi la Syria

    Makumi ya magaidi wa ISIS wauawa katika operesheni ya jeshi la Syria

    Oct 16, 2022 10:44

    Makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Syria kusini mwa nchi.

  • Bunge la Djibouti laiweka FRUD katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Bunge la Djibouti laiweka FRUD katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Oct 14, 2022 07:45

    Bunge la Djibouti limeliweka kundi la wabeba silaha la Front for the Restoration of Unity and Democracy (FRUD) katika orodha ya magenge ya kigaidi.

  • Askari 11 wauawa, raia 50 watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Askari 11 wauawa, raia 50 watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Sep 28, 2022 03:38

    Wanajeshi wasiopungua 11 wa Burkina Faso wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno

    Sep 11, 2022 11:58

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigadi la Boko Haram na lile la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jul 18, 2022 07:38

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 46 wa kundi la kigadi la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.

  • Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Jul 09, 2022 07:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mwenendo wa magenge ya kigaidi na kitakfiri wa kupanda mbegu za chuki na mifarakano ni sehemu ya mbinu zinazotumiwa na maadui kuibua migawanyiko katika umma wa Kiislamu.

  • Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Jun 28, 2022 02:45

    Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema magaidi wenye makao yao Albania hawatabakia salama kutokana na moto wa ulipizaji kisasi wa jinai walizotenda.

  • Hashdu Shaabi yashambulia maficho ya magaidi Iraq; yaua kadhaa miongoni mwao

    Hashdu Shaabi yashambulia maficho ya magaidi Iraq; yaua kadhaa miongoni mwao

    Jun 07, 2022 08:03

    Wanamapambano wa harakati ya wanamuqawa ya Hashdu Shaabi ya Iraq wameshambulia ngome na maficho ya mabaki ya wanachama wa magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi kaskazini mwa Baghdad, mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia anusurika kuuawa na magaidi

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia anusurika kuuawa na magaidi

    Mar 27, 2022 08:00

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia, Taoufik Charfeddine amenusurika kuuawa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS