Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Iran na Russia ni nembo ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran na Russia ni nembo ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Dec 01, 2017 03:58

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano baina ya nchi hii na Russia katika vita dhidi ya ugaidi ni nembo ya aina yake na mfano wa kuigwa kote duniani.

  • Operesheni ya G5 dhidi ya ugaidi yaanza eneo la Sahel la Afrika

    Operesheni ya G5 dhidi ya ugaidi yaanza eneo la Sahel la Afrika

    Nov 04, 2017 04:13

    Askari wa nchi tano 'G 5' za eneo la Sahel la Afrika wameanza operesheni dhidi ya ugaidi katika eneo hilo.

  • Larijani: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Larijani: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Oct 16, 2017 08:34

    Spika wa majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, ugaidi ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi zote duniani na mapambano dhidi ya uhalifu huo mkubwa yanahitajia ushirikiano wa nchi zote duniani.

  • Jeshi la Iran: Tutaendelea kuzisaidia nchi jirani katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Jeshi la Iran: Tutaendelea kuzisaidia nchi jirani katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Sep 04, 2017 12:02

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Jenerali Muhammad Hossein Baqeri amesema kuwa Iran itaendelea kuzisaidia nchi majirani katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Umoja wa Kiislamu, njia pekee ya kukabiliana na magaidi wakufurishaji na Wazayuni

    Umoja wa Kiislamu, njia pekee ya kukabiliana na magaidi wakufurishaji na Wazayuni

    Aug 23, 2017 09:16

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njia pekee ya kukabiliana na vitisho viwili vya magaidi wakufurishaji na Wazayuni ni kuwepo umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu duniani.

  • Ayatullah Larijani: Wamagharibi hawana nia ya kuutokomeza ugaidi

    Ayatullah Larijani: Wamagharibi hawana nia ya kuutokomeza ugaidi

    Aug 21, 2017 22:11

    Mkuu wa Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Magharibi hauna azma ya dhati ya kuutokomeza ugaidi.

  • Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika

    Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika

    Jul 31, 2017 22:06

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Florence Parly ameanza safari yake katika nchi kadhaa za eneo la Sahel barani Afrika kwa kuitembelea Chad.

  • Spika Larijani: Kuunga mkono mhimili wa muqawama ni jukumu la Kiislamu na kibinadamu

    Spika Larijani: Kuunga mkono mhimili wa muqawama ni jukumu la Kiislamu na kibinadamu

    Jul 26, 2017 22:52

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haisiti hata kidogo kuunga mkono mhimili wa muqawama na kuwakandamiza magaidi na kwamba, inalitambua hilo kama jukumu la Kiislamu na kibinadamu.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jul 26, 2017 03:13

    Jeshi la Misri limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi, katika operesheni yake yenye lengo la kuwafuta kabisa magaidi wenye misimamo mikali ambao wanaendeleza harakati zao katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Haftar asisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi

    Jul 17, 2017 23:46

    Khalifa Haftar Kamanda wa jeshi la taifa la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo amesema kuwa mapambano dhidi ya ugaidi hadi kutokomezwa suala hilo yataendelezwa kote nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS