-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya udharura wa kuzuia kupelekwa magaidi nchini Syria
Jul 15, 2017 08:02Stephen de Mistura Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari kuwa upelekeaji wa magaidi huko Syria unapasa kukomeshwa.
-
Mkutano wa kimataifa wa kupambana na ugaidi waanza Tehran
Jul 10, 2017 03:10Mkutano wa 13 Kimataifa wa Kupambana na ugaidi maarufu kwa kifupi kwa jina la Kalkan umenza leo mjini Tehran ukijadili njia ya kukabiliana na janga hilo.
-
Rais wa Ufaransa awapongeza Waislamu kwa kupambana na ugaidi, misimamo mikali
Jun 21, 2017 09:35Raisi mpya wa Ufaransa ameipongeza jamii ya Waislamu wa nchi hiyo kutokana na mchango wake mkubwa katika kupambana na misimamo mikali na amesisitiza udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Iran itatoa jibu kali kwa magaidi wanaopania kufanya mashambulizi nchini
Jun 20, 2017 23:34Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu kali zaidi kwa magenge ya kigaidi yatakayojaribu kuleta chokochoko na kufanya mashambulizi ndani ya ardhi ya nchi hii.
-
Umoja wa Mataifa kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi
Jun 16, 2017 03:00Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, utaanzisha ofisi maalumu ya kupambana na ugaidi ikiwa ni katika juhudi za umoja huo za mikakati mipya ya kukabiliana na vitendo vya ugaidi ulimwenguni ambavyo vinazidi kuongezeka siku baada ya siku.
-
Algeria kuimarisha ushirikiano na Iran katika vita dhidi ya ugaidi
Jun 12, 2017 03:22Algeria imelaani vikali mashambulizi pacha ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni hapa mjini Tehran na kusema kuwa, itaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita vya kuyatokomeza magenge ya kigaidi.
-
Ufilipino: Hatujaomba msaada wa Marekani kukabiliana na magaidi
Jun 11, 2017 22:57Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesema nchi yake haijaomba msaada wa Marekani kwa ajili ya kupambana na genge la kigaidi lililoua wanajeshi 13 wa nchi hiyo Ijumaa iliyopita, kusini mwa nchi.
-
Rais Rouhani: Iran na Syria zinashirikiana kuangamiza ugaidi
Jun 09, 2017 00:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mapambano halisi na ya kweli dhidi ya ugaidi na kurejesha amani ya kudumu katika eneo la Mashaiki ya Kati ni lengo la pamoja la Iran na Syria.
-
Zarif: Ufahamu wa pamoja wa jamii ya kimataifa ni njia pekee ya kupambana na uchupaji mipaka
Apr 23, 2017 09:08Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa njia pekee ya kupambana vyema na vikali na ugaidi na vitendo vya uchupaji mipaka ni kwa jamii ya kimataifa kuwa na ufahamu wa pamoja na hivyo kuweza kulipatia ufumbuzi tatizo hilo kubwa.
-
17 wauawa katika mapigano kati ya magaidi na wanajeshi Mali
Apr 19, 2017 21:57Askari wa Ufaransa wakishirikiana na wanajeshi wa Mali wamefanikiwa kuangamiza magaidi 12 kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.