-
Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika
Apr 06, 2017 06:32Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika ambayo imetajwa kuwa lengo lake ni kuimarisha uchumi na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Utawala wa ukufurishaji wa Aal-Saud na madai yake ya kuchekesha ya kupambana na ugaidi
Mar 26, 2017 07:43Saudia ambayo iko mstari wa mbele katika kuunga mkono ugaidi na makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na hata duniani kwa ujumla, katika hatua ya kipropaganda inayofanana zaidi na kichekesho cha kisiasa imedai kuwa, eti inapambana na ugaidi.
-
Hatua nyingine muhimu kuelekea ukombozi kamili wa Mosul
Feb 24, 2017 04:39Jeshi la Iraq limeendeleza operesheni ya kukomboa eneo la magharibi mwa Mosul kwa kudhibiti uwanja wa ndege wa mji huo kutoka kwenye makucha ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Viongozi wa Kiafrika wasisitiza juu ya kupambana na ugaidi
Jan 15, 2017 11:13Viongozi wa nchi 30 za Kiafrika walioshiriki katika mkutano wa Afrika na Ufaransa huko Bamako mji mkuu wa Mali wamesisitiza juu ya kuweko vita vya kweli dhidi ya ugaidi.
-
Kuendelea kukosolewa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu vita dhidi ya ugaidi
Dec 25, 2016 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekosoa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu masuala ya eneo la Mashariki ya Kati na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Abdollahian: Aleppo inaelekea kusafika kutokana na uepo wa makundi ya kigaidi
Nov 29, 2016 10:33Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (bunge), katika masuala ya kimataifa, amesema kuwa hivi sasa mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria unaelea kusafika kutokana na uepo wa makundi ya kigaidi na kitakfiri.
-
Hizbullah yasisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi hadi kuwaangamiza kikamilifu
Nov 25, 2016 11:41Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imesisitiza juu ya kuendeleza mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuyatokomeza kikamilifu.
-
Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kupambana na ugaidi
Nov 15, 2016 01:06Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Russia zitaendelea kuwa na ushirikiano wa kistratajia katika kupambana na ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui
Nov 05, 2016 23:13Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa, kushiriki vilivyo wananchi katika nyuga tofauti kumefanikiwa kuvunja njama zote za maadui.
-
Rais Putin: Marekani imetumbukia katika shimo lile lile
Oct 28, 2016 23:09Rais Vladimir Putin wa Russia ameelezea kusikitishwa kwake na makubaliano yaliyofikiwa kati ya nchi yake na Marekani katika suala la kupambana na ugaidi lakini hayakutekelezwa kivitendo.