-
Spika wa Bunge Lebanon: Anga ya kuundwa serikali mpya nchini ni chanya sana
Oct 27, 2018 23:03Spika wa Bunge nchini Lebanon amesema kuwa, anga kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ni chanya sana na yenye kutia matumaini.
-
Rais Aoun: Serikali ya Lebanon kuundwa katika kipindi kifupi kijacho
Oct 18, 2018 10:38Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema serikali mpya ya nchi hiyo itaundwa katika kipindi kifupi kijacho.
-
Vikwazo vya kongresi ya Marekani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Oct 13, 2018 08:25Katika kuendelea jitihada za Marekani za kukabiliana na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon; kongresi ya nchi hiyo imepasisha mswada wa kuiwekea vikwazo vipya harakati hiyo.
-
Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa
Sep 28, 2018 04:26Vyombo vya usalama vya Lebanon vimetangaza habari ya kusambaratishwa njama ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) ambalo lilitaka kuweka sumu ndani ya maji ya kunywa ya wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Saudia inapanga njama ya kuvihamishia Lebanon vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen
Aug 27, 2018 03:16Gazeti la Al-Akhbar limefichua kuwa Saudi Arabia inapanga njama mpya ya kuvihamishia Lebanon vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen.
-
Maulamaa wa Lebanon watangaza mshikamamo wao kwa Iran mkabala na vikwazo vya Marekani
Aug 15, 2018 10:32Maulama wa kidini wa nchini Lebanon wamelaani mashinikizo na vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa wanaiunga mkono kikamilifu Tehran.
-
Hizbullah: Saudia inakwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon
Aug 05, 2018 20:50Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kitendo cha baadhi ya mirengo ya kisiasa inayochochewa na Saudi Arabia, cha kushikilia misimamo yao ya kupewa nafasi maalumu serikalini ndicho kinachokwamisha kuundwa serikali mpya nchini Lebanon.
-
Saudia inahusika katika kuchelewesha uundaji wa serikali mpya ya Lebanon
Jul 14, 2018 23:19Sheikh Nabil Qawooq mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria uingiliaji kati wa Saudi Arabia katika suala la kuunda serikali huko Lebanon na kusisitiza kuwa viongozi wa Saudia ndio kikwazo kikuu na wanatatiza zaidi hali ya ndani ya Lebanon.
-
Saudia yamwita nyumbani balozi wake wa Lebanon
Jul 09, 2018 21:53Serikali ya Saudi Arabia imemwita nyumbani balozi wake Walid al-Bukhari, kutoka Beirut, mji mkuu wa Lebanon.
-
Nasrullah: Makundi ya kigaidi nchini Syria yanasambaratika
Jun 29, 2018 23:40Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati yana manufaa kwa kambi ya muqawama na mapambano na kwamba makundi yanayobeba silaha huko Syria yamo katika hali ya kusambaratika.