-
Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama
Jun 11, 2018 23:47Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema: Saudi Arabia imetumia katika muda mfupi tu dola milioni 200 kwa ajili ya uchaguzi wa bunge la Lebanon, lakini harakati ya Hizbullah ndiyo iliyoibuka mshindi katika uchaguzi huo.
-
Nasrullah asisitiza ulazima wa Waislamu kukabiliana na fitna ya Wasaudi; na Ulimwengu wa Kiislamu kufanya hima ya kuwasaidia watu wa Quds
Jun 08, 2018 23:03Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: Njama hatari zaidi ya adui ni mpango wa Marekani wa "Mapatano ya Karne" ambayo lengo lake ni kulitolea hukumu suala la Palestina na kuisalimisha Quds na matukufu yake kwa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Spika wa Lebanon: Kama Hizbullah isingekwenda Syria, Daesh ingefika hadi ndani ya ardhi yetu
Jun 07, 2018 11:02Spika wa Bunge la Lebanon amesema, laiti kama Hizbullah isingekuweko Syria, magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wangekuwa wameshafika ndani ya ardhi ya Lebanon.
-
Maulamaa wa Palestina: Imam Khomeini MA alihuisha kadhia ya Palestina
Jun 01, 2018 23:40Msemaji wa Baraza la Maulamaa Wapalestina amesema: "Imam Khomeini MA, kwa kutangaza Ijumaa ya Mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds alihuisha kadhia ya Palestina."
-
Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia
May 30, 2018 03:34Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.
-
Umoja wa kitaifa, suluhisho la changamoto za Lebanon
May 25, 2018 23:31Baada ya bunge la Lebanon kumchagua kwa sauti moja, Sad Hariri, Waziri Mkuu wa hivi sasa, kubuni baraza la mawaziri, inatazamiwa kuwa baraza hilo pia litabuniwa kwa msingi wa kuimarisha uwiano na umoja wa kitaifa.
-
Saad al Hariri akabidhiwa jukumu la kuunda serikali mpya ya Lebanon
May 24, 2018 09:55Saad al Hariri, Waziri Mkuu wa sasa wa Lebanon, ameteuliwa kuunda serikali mpya baada ya kujipatia kura nyingi za wabunge wa bunge la nchi hiyo.
-
Uchaguzi wa Bunge Lebanon ulikuwa ni 'La' kwa Marekani na utawala wa Kizayuni
May 08, 2018 03:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametuma salamu za pongezi kufuatia ushindi wa mrengo wa Muqawama katika Uchaguzi wa Bunge nchini Lebnaon jana na kusema, 'uchaugzi huu ulikuwa ni 'La' ya watu wa Lebanon kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni.'
-
Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon
May 07, 2018 10:51Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.
-
Nabih Berri atahadharisha kuhusu Israel kuishambulia Lebanon
Apr 29, 2018 10:39Spika wa Bunge la Lebanon ametahadharisha kwamba, utawala haramu wa Israel umeajiandaa kuishambulia kijeshi nchi hiyo ya Kiarabu.