Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Mwanazuoni wa Kisuni Lebanon: Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Mwanazuoni wa Kisuni Lebanon: Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Mar 28, 2016 09:22

    Sheikh Suhail Habli, mwanazoni wa Kisuni wa nchini Lebanon amezikosoa siasa za watawala wa Aal Saud na kusema kuwa, Saudi Arabia ni mfanyakazi wa bure wa Wazayuni.

  • Rais mteule wa Benin kuongoza kwa muhula mmoja tu wa miaka mitano

    Rais mteule wa Benin kuongoza kwa muhula mmoja tu wa miaka mitano

    Mar 27, 2016 00:08

    Rais mteule wa Benin Patrice Talon amesema kuwa, anataka kupunguza muda wa rais anaoweza kuongoza nchini humo, kuwa muhula mmoja tu wa miaka mitano.

  • Safari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon

    Safari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon

    Mar 25, 2016 21:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesisitizia ulazima wa kuongezwa misaada ya kimataifa kwa jeshi la Lebanon.

  • Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Mar 19, 2016 04:07

    Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.

  • Kharazi: Kudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya Israel

    Kharazi: Kudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya Israel

    Mar 17, 2016 09:58

    Mkuu wa Baraza la Kiistratejia la Uhusiano wa Kigeni la Iran amesema kuwa kuudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni.

  • Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Mar 13, 2016 04:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.

  • Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 12, 2016 04:39

    Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Hizbullah yasisitizia umoja wa Waislamu dhidi ya adui Mzayuni

    Hizbullah yasisitizia umoja wa Waislamu dhidi ya adui Mzayuni

    Mar 10, 2016 21:43

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon, Sheikh Naim Qassem amesisitizia umuhimu wa kuendelezwa mapambano dhidi ya adui Mzayuni.

  • Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Mar 01, 2016 23:20

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah: Hatuwezi kuiomba Saudia msamaha

    Hizbullah: Hatuwezi kuiomba Saudia msamaha

    Feb 28, 2016 04:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imeukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa kula njama ya kuitumbukiza Lebanon katika mzozo wa ndani na kuongeza kuwa katu haiwezi kuiomba msahama serikali ya Riyadh kwa kusema ukweli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS