Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya yaagiza kukamatwa  maafisa 8 katika uchunguzi wa kuporomoka kwa bwawa

    Libya yaagiza kukamatwa maafisa 8 katika uchunguzi wa kuporomoka kwa bwawa

    Sep 26, 2023 07:42

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya imesema, Mwendesha Mashtaka Mkuu huyo ameamuru kukamatwa maafisa wanane kama sehemu ya uchunguzi wake kuhusu maafa ya hivi majuzi ya mafuriko ambayo yalisababisha vifo vya maelfu ya watu.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 07:17

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

  • Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Sep 17, 2023 04:39

    Mkuu wa Shirika la Hlilali Nyekundu la Iran (IRCS) amesema jumuiya hiyo imetuma tani 40 za misaada ya dharura nchini Libya, kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    Sep 16, 2023 10:59

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Martin Griffiths amesema, umoja huo unaendelea kuhamasisha juhudi za utoaji misaada kwa nchi za Libya na Morocco kufuatia majanga mawili makubwa tofauti yaliyozikumba nchi hizo sambamba na machungu na maumivu makubwa yaliyozipata familia zilizofiwa na kupoteza wapendwa wao katika majanga hayo.

  • Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Sep 15, 2023 03:20

    Meya wa mji wa Derna, mashariki mwa Libya amesema huenda idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na athari za kimbunga kikali kilichoikumba nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ikapindukia watu 20,000.

  • Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Sep 14, 2023 02:55

    Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika

  • Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Sep 12, 2023 14:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu na wananchi wa Libya kutokana na vifo vya maelfu ya watu nchini huko vilivyosababishwa na Kimbunga Daniel kilichoikumba nchi hiyo na kuzusha mafuriko makubwa.

  • Kimbunga kikali cha Mediterrania, mafuriko yaua maelfu ya watu Libya

    Kimbunga kikali cha Mediterrania, mafuriko yaua maelfu ya watu Libya

    Sep 12, 2023 02:46

    Mamia ya watu wamepoteza maisha baada ya kimbunga kikali cha Mediterrania kupiga mashariki mwa Libya na kusababisha mvua kubwa na mafuriko.

  • Kupinga Waziri Mkuu wa Libya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kupinga Waziri Mkuu wa Libya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sep 02, 2023 10:45

    Baada ya maandamano makubwa ya wananchi wa Libya ya kulaaniwa kukutana na kufanya mazungumzo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo na mwenzake wa utawala wa Kizayuni, kwa mara nyingine tena Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya, Abdel-Hamid al-Dbeibeh, alisisitiza siku ya Alkhamisi juu ya uungaji mkono wa nchi hiyo kwa kwa malengo matukufu ya Palestina na mapambano ya Palestina dhidi ya ya utawala haramu wa Israel.

  • Walibya: Serikali ya Dbeibah itimuliwe kwa kuvuka mistari myekundu

    Walibya: Serikali ya Dbeibah itimuliwe kwa kuvuka mistari myekundu

    Aug 29, 2023 11:49

    Viongozi na wanasiasa mashuhuri wa Libya wametoa mwito wa kuondolewa mamlakani serikali nzima ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abdul Hamid Dbeibah, baada ya kufichuka habari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuonana kwa siri na waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni, Eli Cohen nchini Italia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS