Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Aug 29, 2023 02:45

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa shukrani rasmi kwa wananchi wa LIbya kwa hatua yao ya kuonesha msimamo imara wa kulaani hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Libya ya kuonana na waziri wa mambo ya nje wa Israel.

  • Waziri wa Libya akimbia nchi baada ya kusimamishwa kazi, hasira zinaendelea

    Waziri wa Libya akimbia nchi baada ya kusimamishwa kazi, hasira zinaendelea

    Aug 28, 2023 12:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya, Najla al Mangoush amekimbilia Uturuki baada ya Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya kumsimamisha kazi kwa kosa la kuonana na waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni nchini Italia. 

  • Italia yazilaumu nchi za Magharibi kwa kuivamia kijeshi Libya wakati wa Gaddafi

    Italia yazilaumu nchi za Magharibi kwa kuivamia kijeshi Libya wakati wa Gaddafi

    Aug 18, 2023 04:36

    Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu wa Italia amezilaumu nchi za Magharibi kwa kuivamia kijeshi Libya wakati wa harakati za wananchi za kuipindua serikali ya kiongozi wa muda mrefu Muammar Gaddafi lakini ameshindwa kulaumu uharibifu mkubwa uliofanywa na madola hayo ya Magharibi katika uvamizi wao huo.

  • Waliouawa katika mapigano ya pande hasimu za jeshi Libya wafika 55

    Waliouawa katika mapigano ya pande hasimu za jeshi Libya wafika 55

    Aug 17, 2023 03:16

    Idadi ya waliouawa katika mapigano baina ya pande mbili hasimu za kijeshi katika mji mkuu Libya, Tripoli imeongezeka na kufikia watu 55.

  • Mapigano ya utumiaji silaha yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Mapigano ya utumiaji silaha yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Aug 16, 2023 02:49

    Msemaji wa masuala ya dharura na utoaji misaada nchini Libya ametangaza kuwa mapigano ya utumiaji silaha yameanza tena katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Libya, familia za wahanga waliozikwa kwenye makaburi ya umati zataka wahusika wanyongwe

    Libya, familia za wahanga waliozikwa kwenye makaburi ya umati zataka wahusika wanyongwe

    Aug 14, 2023 12:21

    Familia za watu waliouawa na kuzikwa kwenye makaburi ya halaiki zimepinga adhabu ya vifungo vya jela kwa wale waliohusika na mauaji ya mamia ya raia na kuzikwa kwenye makaburi hayi katika mji wa Tarhuna, kusini mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli, na badala yake zinataka wapewe adhabu ya kifo

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Aug 11, 2023 02:19

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Iran na Libya zatangaza azma ya kuimarisha uhusiano

    Iran na Libya zatangaza azma ya kuimarisha uhusiano

    Jul 25, 2023 15:19

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Libya wamesisitiza azma ya viongozi wa nchi mbili ya kupanua uhusiano wa pande mbili.

  • Libya yawahukumu watu 37 kwa kusababisha vifo vya wahamiaji 11

    Libya yawahukumu watu 37 kwa kusababisha vifo vya wahamiaji 11

    Jul 11, 2023 11:02

    Mahakama nchini Libya imeidhinisha hukumu kali kwa watu 37 waliotuhumiwa kujihusisha na magendo ya binadamu. Watu hao wanatajwa kusababisha vifo vya wahajiri waliokuwa wakijaribu kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania. Haya yameelezwa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Libya.

  • Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    May 15, 2023 10:41

    Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS