Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya

    Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya

    Jun 08, 2020 07:34

    Serikali ya Morocco imepinga mpango wa Misri kuhusu Libya na kusisitiza kuwa muafaka wa kisiasa wa al Sakhirat ni marejeo asili ya ufumbuzi wa mgogoro wa Libya.

  • Wapiganaji wa Haftar warejea nyuma kutoka mji wa Sirte nchini Libya

    Wapiganaji wa Haftar warejea nyuma kutoka mji wa Sirte nchini Libya

    Jun 06, 2020 23:47

    Askari wa serikali ya mwafaka wa kitaifa yenye makao yake magharibi mwa Libya wameelezea habari ya kukimbia wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar kutoka katika mji wa Sirte hadi umbali wa kati ya Tripoli na Bengazi.

  • Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya yakataa pendekezo la usitishaji vita la Misri na Haftar

    Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya yakataa pendekezo la usitishaji vita la Misri na Haftar

    Jun 06, 2020 22:37

    Jeshi la serikali ya muafaka wa kitaifa ya Libya limekataa pendekezo la kusitisha vita lililotolewa na Misri na vikosi vya mashariki mwa nchi hiyo na badala yake limesisitiza kudhibitiwakudhibitiwa maeneo yote ya nchi hiyo.

  • Kuendelea ushindi wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya na mustakabali usiowazi wa Libya

    Kuendelea ushindi wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya na mustakabali usiowazi wa Libya

    Jun 06, 2020 03:46

    Vita nchini Libya vimeshadidi na kushika kasi. Serikali ya Muafaka wa Kiataifa (GNU) yenye makao yake mjini Tripoli iko mbioni kukomboa maeneo yote ambayo yanakaliwa na wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar. Katika siku za hivi karibuni vikosi vya Serikali ya Muafaka wa Kitaifa vimepata mafanikio makubwa.

  • Baraza la Usalama larefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Baraza la Usalama larefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Jun 06, 2020 03:26

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeongeza muda wa vikwazo vya silaha vilivyowekewa Libya kwa kipindi cha mwaka mmoja mwingine.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatwaa ngome kuu ya Haftar magharibi mwa Libya

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatwaa ngome kuu ya Haftar magharibi mwa Libya

    Jun 05, 2020 08:07

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa limetwaa ngome kuu ya mwisho ya wapiganaji wa jenerali muasi, Khalif Haftar huko magharibi mwa Libya.

  • Khalifa Haftar aainisha masharti kwa ajili ya kuanza mazungumzo huko Libya

    Khalifa Haftar aainisha masharti kwa ajili ya kuanza mazungumzo huko Libya

    Jun 04, 2020 22:20

    Kamanda wa kundi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya ameainisha masharti ili kufanya mazungumzo na serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yadhibiti kikamilifu mji wa Tripoli

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yadhibiti kikamilifu mji wa Tripoli

    Jun 04, 2020 07:41

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya imetangaza kwamba imefanikiwa kuudhibiti kikamilifu mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli na kufurusha mabaki ya wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftari.

  • Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri

    Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri

    Jun 04, 2020 03:19

    Kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Kitaifa la Libya yuko mjini Cairo Misri, kwa lengo la kuonana na kuzungumza na viongozi wa nchi hiyo.

  • Wapiganaji wa Haftar: Uturuki imetuma vifaru nchini Libya

    Wapiganaji wa Haftar: Uturuki imetuma vifaru nchini Libya

    Jun 03, 2020 00:05

    Wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya wamesema kwamba meli moja ya mizigo kutoka Uturuki imeshusha vifaru visivyojulikana idadi yake aina ya M60 kwa ajili ya serikali ya wokovu wa kitaifa ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS