Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Duru mpya ya mazungumzo Libya kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo

    Duru mpya ya mazungumzo Libya kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo

    Jun 02, 2020 07:04

    Vita vya ndani vingali vinaendelea nchini Libya na makundi mawili makuu hasimu yamekuwa yakitwaa na kufukuzwa katika maeneo ya kistratijia kwa zamu. Hali hiyo pia imezidisha uingiliaji kati ya nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Libya.

  • Algeria: Tutaendelea na upatanishi hadi kutatuliwa mzozo wa Libya

    Algeria: Tutaendelea na upatanishi hadi kutatuliwa mzozo wa Libya

    Jun 02, 2020 03:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, nchi yake itaendeleza juhudi za kupunguza mizozo na kuzikinaisha pande nyingine nchini Libya ili zishiriki mazungumzo ya kisiasa ya kutatua mzozo wa nchi hiyo.

  • Kaburi la umati lagunduliwa kusini mwa Libya

    Kaburi la umati lagunduliwa kusini mwa Libya

    Jun 01, 2020 22:00

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imetangaza kuwa imegundua kaburi la umati katika eneo lililokombolewa kutoka kwa wapiganaji wanaoongozwa na jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Jun 01, 2020 03:16

    Hatua ya vyama mbalimbali nchini Tunisia kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini humo imeipelekea washington iachane na msimamo wake katika uwanja huo.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya wahajiri 30 Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya wahajiri 30 Libya

    May 30, 2020 03:43

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri huko nchini Libya.

  • Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    May 29, 2020 02:09

    Chama cha Kijani ambacho ni moja ya vyama vya upinzani nchini Ujerumani kimemshutumu Kansela wa nchi hiyo Angela Merkel kwa kutoheshimu marufuku ya Umoja wa Mataifa na kumtaka atoe ufafanuzi kuhusu kutumwa silaha za nchi hiyo kwa makundi hasimu nchini Libya.

  • Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    May 29, 2020 01:48

    Msemaji wa wanamgambo wanaojiita "Jeshi la Taifa la Libya" chini ya jenerali muasi Khalifa Haftar amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi wa Uturuki ni hatari sana kwa Libya.

  • Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    May 27, 2020 11:21

    Russia imekadhibisha na kutaja kama upotoshaji madai ya Marekani kwamba Mosow imetuma ndege za kijeshi nchini Libya kwenda kuwasaidia wapiganaji wa Khalifa Haftar.

  • Mpango wa siri wa operesheni ya nchi kadhaa za Magharibi dhidi ya Libya wafichuliwa

    Mpango wa siri wa operesheni ya nchi kadhaa za Magharibi dhidi ya Libya wafichuliwa

    May 26, 2020 02:46

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamefichua mpango wa siri wa nchi kadhaa za Magharibi ikiwemo Marekani na Uingereza katika kuwaunga mkono wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya.

  • Kiongozi mmoja wa ISIS atiwa mbaroni nchini Libya

    Kiongozi mmoja wa ISIS atiwa mbaroni nchini Libya

    May 25, 2020 07:43

    Kundi linalojiita "Jeshi la Taifa la Libya" limedai kumtia mbaroni kiongozi mmoja wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS