Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN: Wakimbizi elfu nne wameondolewa Libya

    UN: Wakimbizi elfu nne wameondolewa Libya

    Feb 05, 2019 00:15

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeripoti kuwa tangu mwanzoni mwaka mwaka jana wa 2018 hadi sasa zaidi ya wakimbizi 4000 wameondolewa huko Libya.

  • Mkutano wa kujadili mchakato wa uchaguzi wa Libya huenda ukacheleweshwa

    Mkutano wa kujadili mchakato wa uchaguzi wa Libya huenda ukacheleweshwa

    Jan 31, 2019 23:13

    Umoja wa Mataifa huenda ukasogeza mbele tarehe ya mkutano wa kuratibu uchaguzu mkuu wa Libya uliopangwa kufanyika mwaka huu hadi viongozi wa mirengo hasimu ya nchi hiyo watakapotoa msukumo na uungaji mkono zaidi kwa mchakato huo.

  • Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri

    Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri

    Jan 22, 2019 11:29

    Serikali ya Libya imeanzisha ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri kwa lengo la kuzuia kuingia wanachama wa kigaidi katika nchi hiyo.

  • Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Jan 20, 2019 04:22

    Wahajiri zaidi ya 100 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Libya.

  • 13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya

    13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya

    Jan 19, 2019 12:09

    Wizara ya Afya ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 13 wengine katika mapigano mapya yaliyotokea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida Libya aangamizwa

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida Libya aangamizwa

    Jan 18, 2019 23:31

    Ripoiti kutoka Libya zinasema kuwa kinara wa kundi la kigaidi la al Qaida nchini humo ameuawa katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Spika wa bunge: Libya ni lazima iendeshe uchaguzi hata kama rasimu ya katiba itakataliwa

    Spika wa bunge: Libya ni lazima iendeshe uchaguzi hata kama rasimu ya katiba itakataliwa

    Jan 14, 2019 23:40

    Aguila Saleh Spika wa bunge la Libya lenye makao yake katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi amesema kuwa nchi hiyo lazima iendelee mbele na chaguzi za kitaifa hata kama wapiga kura watapinga rasimu ya katiba katika kura ya maoni inayopangwa kufanyika nchini humo.

  • Watu 27 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    Watu 27 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya

    Dec 28, 2018 02:58

    Kundi moja lenye silaha limevamia kituo kimoja cha askari wanaoitwa Jeshi la Taifa la Libya kusini mwa nchi hiyo na kupelekea kuuawa na kujeruhi watu 27.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya

    Dec 26, 2018 11:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana katika jengo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya mjini Tripoli.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya yashambuliwa, 13 wauawa na kujeruhiwa

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya yashambuliwa, 13 wauawa na kujeruhiwa

    Dec 25, 2018 11:19

    Kwa akali watu watatu wameuawa akiwemo mtumishi wa umma wa ngazi za juu, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa, baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia jengo lenye Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya katika mji mkuu Tripoli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS