-
UN: Wakimbizi elfu nne wameondolewa Libya
Feb 05, 2019 00:15Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeripoti kuwa tangu mwanzoni mwaka mwaka jana wa 2018 hadi sasa zaidi ya wakimbizi 4000 wameondolewa huko Libya.
-
Mkutano wa kujadili mchakato wa uchaguzi wa Libya huenda ukacheleweshwa
Jan 31, 2019 23:13Umoja wa Mataifa huenda ukasogeza mbele tarehe ya mkutano wa kuratibu uchaguzu mkuu wa Libya uliopangwa kufanyika mwaka huu hadi viongozi wa mirengo hasimu ya nchi hiyo watakapotoa msukumo na uungaji mkono zaidi kwa mchakato huo.
-
Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri
Jan 22, 2019 11:29Serikali ya Libya imeanzisha ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri kwa lengo la kuzuia kuingia wanachama wa kigaidi katika nchi hiyo.
-
Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya
Jan 20, 2019 04:22Wahajiri zaidi ya 100 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Libya.
-
13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya
Jan 19, 2019 12:09Wizara ya Afya ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 13 wengine katika mapigano mapya yaliyotokea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida Libya aangamizwa
Jan 18, 2019 23:31Ripoiti kutoka Libya zinasema kuwa kinara wa kundi la kigaidi la al Qaida nchini humo ameuawa katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Spika wa bunge: Libya ni lazima iendeshe uchaguzi hata kama rasimu ya katiba itakataliwa
Jan 14, 2019 23:40Aguila Saleh Spika wa bunge la Libya lenye makao yake katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi amesema kuwa nchi hiyo lazima iendelee mbele na chaguzi za kitaifa hata kama wapiga kura watapinga rasimu ya katiba katika kura ya maoni inayopangwa kufanyika nchini humo.
-
Watu 27 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya kusini mwa Libya
Dec 28, 2018 02:58Kundi moja lenye silaha limevamia kituo kimoja cha askari wanaoitwa Jeshi la Taifa la Libya kusini mwa nchi hiyo na kupelekea kuuawa na kujeruhi watu 27.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya
Dec 26, 2018 11:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana katika jengo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya mjini Tripoli.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya yashambuliwa, 13 wauawa na kujeruhiwa
Dec 25, 2018 11:19Kwa akali watu watatu wameuawa akiwemo mtumishi wa umma wa ngazi za juu, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa, baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia jengo lenye Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya katika mji mkuu Tripoli.