Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Juhudi za mtoto wa Gaddafi za kurejea katika ulingo wa madaraka nchini Libya

    Juhudi za mtoto wa Gaddafi za kurejea katika ulingo wa madaraka nchini Libya

    Dec 25, 2018 08:48

    Katika hali ambayo kumekuwepo tetesi kuhusiana na kuingia katika ulingo wa siasa Seif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi na juhudi zake za kutaka kugombea kiti cha urais katika uchaguzi ujao, Seif al-Islam amemwandikia barua Rais Vladimir Putin wa Russia akitaka Moscow imsaidie na kumuunga mkono.

  • Wahajiri 300 waokolewa katika maji ya pwani ya Libya

    Wahajiri 300 waokolewa katika maji ya pwani ya Libya

    Dec 22, 2018 04:32

    Shirika moja lisilo la kiserikali nchini Uhispania limeripoti kuwa wahajiri haramu 300 wameokolewa katika maji ya pwani ya Libya.

  • AU yatahadharisha kuhusu machafuko ya Libya

    AU yatahadharisha kuhusu machafuko ya Libya

    Dec 19, 2018 11:41

    Mratibu wa Masuala ya Amani na Usalama wa Umoja wa Afrika amesema kuwa machafuko na ukosefu wa usalama nchini Libya vinaathiri bara zima la Afrika.

  • Libya yatangaza tarehe ya kufanyika kura ya maoni ya katiba

    Libya yatangaza tarehe ya kufanyika kura ya maoni ya katiba

    Dec 07, 2018 04:42

    Mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Libya ametangaza tarehe ya kufanyika kura ya maoni kuhusu katiba ya nchi hiyo.

  • Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Dec 04, 2018 11:10

    Maiti 15 za wahajiri zimepatikana zikiwa ndani ya boti katika pwani ya Libya, katika bahari ya Mediterania.

  • Wahajiri 113 waokoloewa katika fukwe za magharibi mwa Libya

    Wahajiri 113 waokoloewa katika fukwe za magharibi mwa Libya

    Nov 26, 2018 23:11

    Jeshi la Majini la Libya limetangaza habari ya kuokoa wahajiri haramu 113 katika fukwe za magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu 7 wauawa katika shambulio la genge la kigaidi la ISIS kusini mashariki mwa Libya

    Watu 7 wauawa katika shambulio la genge la kigaidi la ISIS kusini mashariki mwa Libya

    Nov 24, 2018 03:42

    Vyombo vya habari vya Libya usiku wa kuamkia leo vimetangaza kuwa, wanamgambo wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) wameshambulia kituo kimoja cha polisi kusini mashariki mwa nchi hiyo na kuua watu wasiopungua saba na kujeruhi wengine 10.

  • Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Nov 15, 2018 00:03

    Makumi ya wahajiri wamejifungia kwenye shehena iliyoko ndani ya meli moja katika mji bandari wa Misrata kwa muda wa siku tano sasa baada ya kuokolewa, wakisisitiza kuwa Libya ni nchi hatari sana kwao.

  • Juhudi za kurejesha amani nchini Libya

    Juhudi za kurejesha amani nchini Libya

    Nov 14, 2018 08:33

    Jitihada za kurejesha amani huko Libya zinaendelea kufanywa wakati huu ambapo nchi hiyo inasumbuliwa mgogoro na changamoto nyingi. Hadi sasa kumefanyika mikutano kadhaa ya kujadili njia za kurejesha amani nchini humo ukiwemo ule wa siku mbili nchini Italia uliodhuhuriwa na pande kuu husimu katika mgogoro wa ndani wa nchi hiyo na jumbe kutoka nchi 30 duniani.

  • Mkutano wa amani wa Libya wamalizika nchini Italia

    Mkutano wa amani wa Libya wamalizika nchini Italia

    Nov 13, 2018 23:48

    Mkutano wa siku mbili wa amani wa Libya ulimalizika jana usiku katika mji wa Palermo nchini Italia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS